Facebook Comments Box

Saturday, December 1, 2012

KILI STARS YASHINDA 7-0: ANGALIA PICHA HAPA

Kikosi cha Bara, Kilimanjaro Stars kilichofuzu kuingia Robo Fainali ya michuano ya CECAFA Tusker Challenge, baada ya kuilaza Burundi mabao 7-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda leo.

Ngassa baada ya kufunga la kwanza

Salum Abubakar akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Somalia

Bocco akipiga kichwa mpira kwenye lango la Somalia

Kapombe akifanya kazi yake

Ngassa akimiliki  mpira mbele ya beki wa Somalia

Kipa wa Somalia akiokoa moja ya hatari langoni mwake

Kocha Poulsen

Wachezaji wa aStars Mwinyi Kazimoto kulia na Amir Maftah wakiwa na rafiki yao jukwaani

Amri Kiemba akimpongeza Ngassa kufunga 

John Bocco akimburuza Msomali

Bocco akifanya vitu, angalia miguu

Bocco anapongezwa na wenzake baada ya kufunga

Bocco anamuacha mtu

Amri Kiemba kulia

Bocco mawindoni

Yondan anaokoa
Mrisho na mpira wake baada ya kufunga mabao matano
    


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU