Facebook Comments Box

Friday, December 28, 2012

BASI LA ABIRIA USO KWA USO NA LORI LEO

Basi la Abiria limegongana uso kwa uso katika eneo lijulikanalo kwa jina la PIPE LINE INYALA Mbeya baada ya Dereva wa Lori kulipita gari lingine mlimani na ndipo alipokutana na Basi hilo uso kwa uso. Zaidi ya abiria 40 wamenusurika kufa katika ajali hiyo, Dereva wa Lori ambaye ndiye aliyetajwa kuwa na makosa alikimbia kusikojulikana baada ya ajali hiyo na bado anasakwa kwa udi na uvumba.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU