Facebook Comments Box

Monday, September 10, 2012

TFF YAMUIDHINISHA YONDANI NA TWITE KUCHEZA YANGA

Kutoka katika chanzo chetu tunachokiamini TFF leo imemuidhinisha Kelvin Yondani na Mbuyu Twite kuchezeaYoung Africans Sports Club katika msimu wa soka wa Tanzania bara maarufu kama Vodacom premier league. Yanga haita hitajika kuilipa Simba fedha yoyote kwa ajili ya usajili wa mchezaji huyo kwa kuwa mchezaji huyo hana mkataba na simba alikuwa mchezaji huru.
Wakati huo huo Yanga imetakiwa kuirudishia Simba fedha za usajili ndani ya siku 21 kuanzia kesho. Simba ilimuwekea pingamizi Twite kwa madai kuwa ili msajili na ina mkataba na mchezaji huyo.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU