Facebook Comments Box

Friday, September 7, 2012

MAANDAMANO YA WAISLAM DAR ES SALAAM



Wananchi wakiandamana karibu na maeneo ya ofisi za mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Wakielekea wizara ya mambo ya ndani wakishinikiza waislam wote walioshikiliwa kwa ajili ya kukataa sensa waachiwe. Wizara ya mambo ya ndani imetoa tamko waislam wote walioshikiliwa kwa ajili ya kukataa sensa waachiwe huru. Waslam hao wameondoka \Wizara ya mambo ya ndani na kuelekea msikiti wa kichangani ili kuwasiliana na wailam tanzania nzima kujua kama wote wameachiwa.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU