Facebook Comments Box

Wednesday, August 29, 2012

MBUYU TWITE KUWASILI KESHO

Mchezaji alieleta mtafaruku mkubwa katika usajili wake atawasili kesho majira ya saa tisa alasiri. Msemaji wa Young Africans Sports Club Luis Sendeu ameomba washabiki na wapenzi waote wa yanga kujitokeza kumpokea mchezaji huyo. Sendeu pia amehabarisha kuwa suala la Mbuyu kukamatwa wao wanaona ni kama porojo tu.Wakati huo huo timu ya Young Africans Sports Club inatarajiwa kujitupa uwanjani katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kupambana na Coast Union ya Tanga.
Mbuyu Twite akiitumikia Yanga huko Rwanda

Mbuyu Twite akisaini Yanga mbele ya Bin Kleb



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU