Tukio la Arusha limesibitisha pamoja mambo mengine kuna vipaji vilivyojificha kwa watu wengi hasa kwenye mchezo riadha!
— peter serukamba (@serukamba) June 19, 2013
Thursday, June 20, 2013
HAYA NDIO MAONI YA MBUNGE WA KIGOMA KUHUSU TUKIO LA MABOMU ARUSHA
MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA POLISI LEO ASUBUHI
WABUNGE WA CHADEMA WATHIBITISHA MKONG`OTO WALIOPEWA NA POLISI ULIKUWA WA NGUVU
![]() |
Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu akiwaonyesha waandishi wa habari miwani yake aliyodai kuvunjiwa na polisi. Lissu alipata dhamana katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati, jijini Arusha jana baada ya kukamatwa juzi. Picha na Moses Mashalla |
Arusha/Dar es Salaam. Wabunge wanne wa Chadema, ambao waliachiwa
na polisi kwa dhamana wamesimulia mateso waliyoyapata wakiwa rumande
baada ya kukamatwa juzi.
Vigogo hao; Mbunge wa Mpanda Mjini Said Amour
Arfi, Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce
Mukya (Viti maalumu), walikamatwa juzi baada ya wao na wafuasi wa chama
hicho kutawanywa kwa mabomu ya machozi na polisi kwenye Viwanja vya
Soweto, Arusha.
Wabunge hao waliachiwa baada ya kujidhamini
wenyewe huku watu wengine 65 waliokamatwa pamoja nao wakiachiwa baada ya
kudhaminiwa.
Wote wanatakiwa kuripoti kwenye kituo hicho Julai 22, mwaka huu na wataelezwa hatma ya suala hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkuu wa
Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jeshi lake
linaendelea kuwasaka Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na
Mbunge wa Arusha, Godbless Lema na kuwaonya kuwa wanatakiwa
kujisalimisha mara moja.
Chagonja alisema Mbowe na Lema wanatafutwa kwa
kosa la kufanya kusanyiko lisilo halali katika viwanja hivyo vya Soweto
walipokuwa wakitaka kuomboleza vifo vya watu watatu; Judith Moshi,
Ramadhan Juma na Amir Ally waliofariki dunia baada ya kuumizwa kutokana
na mlipuko wa bomu, Jumamosi iliyopita.
Pia aliwaamuru Mbowe na Lema kuwasilisha mara moja
ushahidi wa kuwahusisha polisi na shambulio la bomu na kama hawana
imani na Polisi, basi wawasilishe ushahidi wao kwa Rais Jakaya Kikwete.
Lissu, ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi
ya Upinzani Bungeni, alilalamikia kitendo cha polisi kumwagia maji ya
kuwasha baada ya kumkamata.
“Walinimwagia maji ya kuwasha kwa mfululizo
nikalazimika kulala chini kifudifudi huku nikiwa nimefunika macho
kukwepa yasiingie maji. “Kuna askari walitaka kunipiga lakini
niliokolewa na mwenzao mmoja aliyenikinga nisishambuliwe. Kwa kweli
ilikuwa hali ya hatari,” alisema.
Alisema polisi hao waliomkamata walivunja miwani yake kwa makusudi akisema aliikabidhi kaunta ikiwa haijavunjika.
“Wakati naingia mahabusu nilikabidhi miwani yangu
lakini ajabu wakati tukiachiwa ilikuwa imevunjika.” Alilalamikia hatua
ya polisi kuwashambulia kwa mabomu, kuwamwagia maji ya kuwasha
walipokuwa wakiwatawanya watu waliokusanyika Soweto akisema awali,
waliwaruhusu.
TUME YA UCHAGUZI YAPIGA MARUFUKU MIKUTANO YA KAMPENI ARUSHA
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, imevikataza vyama vya siasa vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Madiwani kwenye Kata nne za Arusha Mjini, kufanya kampeni katika kipindi hiki ambacho uchaguzi huo umehairishwa hadi Juni 30 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo, JULIUS MALLABA amesema kwamba sheria za uchaguzi haziruhusu kwa sasa vyama vya siasa kufanya kampeni kwa kuwa uchaguzi katika Kata hizo umeahirishwa baada ya muda wa kampeni ulikwisha.
Vyama ambavyo vitaonekana kukiuka taratibu hizo vitachukuliwa hatua na kamati za maadili ambazo zinajumuisha wajumbe kutoka vyama vyote vya siasa nchini.
MALLABA pia ametoa wito kwa wananchi wa Kata hizo nne -- Themi, Kaloleni, Kimandolu na Elerai -- kuwa ifikapo siku ya kupiga kura, washiriki zoezi hilo kwa amani na utulivu.
Wednesday, June 19, 2013
IDD SIMBA AACHIWA HURU NA MAHAKAMA YA KISUTU
![]() |
Idd Simba |
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, hivi punde
imemwachiria huru Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es
Salaam (UDA), Idd Simba, Mkurugenzi wa Bodi hiyo ambaye alikuwa Diwani
wa Kata Sinza (CCM), Salum Mwaking’inda, Meneja Mkuu wa shirika hilo
Victor Milanzi
na Mkurugenzi wa Kampuni ya Simon Group , Simon Kisena waliokuwa
wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wa shirika hilo kwa sababu
Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Dk.Eliezer Feleshi kuwasilisha hati ya
kutokuwa na haja ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa hao chini ya
kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka
2002.
Simba anayetetewa na wakili maarufu nchini Alex Mgongolwa walifikishwa na mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Mei 27 mwaka jana wakikabiliwa na makosa ya kula njama,matumizi mabaya ya madaraka na kughushi na hujumu uchumi.
Hivyo kuanzia sasa washitakiwa hao wapo huru
HII NDIO RATIBA YA BARCLAYS PREMIER LEAGUE 2013/2014

17 August 2013
Arsenal v Aston Villa
Chelsea v Hull City
Crystal Palace v Tottenham Hotspur
Liverpool v Stoke City
Manchester City v Newcastle United
Norwich City v Everton
Sunderland v Fulham
Swansea City v Manchester United
West Bromwich Albion v Southampton
West Ham United v Cardiff City
24 August 2013
Aston Villa v Liverpool
Cardiff City v Manchester City
Everton v West Bromwich Albion
Fulham v Arsenal
Hull City v Norwich City
Manchester United v Chelsea
Newcastle United v West Ham United
Southampton v Sunderland
Stoke City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Swansea City
31 August 2013
Arsenal v Tottenham Hotspur
Cardiff City v Everton
Chelsea v Aston Villa
Crystal Palace v Sunderland
Liverpool v Manchester United
Manchester City v Hull City
Newcastle United v Fulham
Norwich City v Southampton
West Bromwich Albion v Swansea City
West Ham United v Stoke City
14 September 2013
Aston Villa v Newcastle United
Everton v Chelsea
Fulham v West Bromwich Albion
Hull City v Cardiff City
Manchester United v Crystal Palace
Southampton v West Ham United
Stoke City v Manchester City
Sunderland v Arsenal
Swansea City v Liverpool
Tottenham Hotspur v Norwich City
21 September 2013
Arsenal v Stoke City
Cardiff City v Tottenham Hotspur
Chelsea v Fulham
Crystal Palace v Swansea City
Liverpool v Southampton
Manchester City v Manchester United
Newcastle United v Hull City
Norwich City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Everton
28 September 2013
Aston Villa v Manchester City
Everton v Newcastle United
Fulham v Cardiff City
Hull City v West Ham United
Manchester United v West Bromwich Albion
Southampton v Crystal Palace
Stoke City v Norwich City
Sunderland v Liverpool
Swansea City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Chelsea
5 October 2013
Cardiff City v Newcastle United
Fulham v Stoke City
Hull City v Aston Villa
Liverpool v Crystal Palace
Manchester City v Everton
Norwich City v Chelsea
Southampton v Swansea City
Sunderland v Manchester United
Tottenham Hotspur v West Ham United
West Bromwich Albion v Arsenal
19 October 2013
Arsenal v Norwich City
Aston Villa v Tottenham Hotspur
Chelsea v Cardiff City
Crystal Palace v Fulham
Everton v Hull City
Manchester United v Southampton
Newcastle United v Liverpool
Stoke City v West Bromwich Albion
Swansea City v Sunderland
West Ham United v Manchester City
26 October 2013
Aston Villa v Everton
Chelsea v Manchester City
Crystal Palace v Arsenal
Liverpool v West Bromwich Albion
Manchester United v Stoke City
Norwich City v Cardiff City
Southampton v Fulham
Sunderland v Newcastle United
Swansea City v West Ham United
Tottenham Hotspur v Hull City
2 November 2013
Arsenal v Liverpool
Cardiff City v Swansea City
Everton v Tottenham Hotspur
Fulham v Manchester United
Hull City v Sunderland
Manchester City v Norwich City
Newcastle United v Chelsea
Stoke City v Southampton
West Bromwich Albion v Crystal Palace
West Ham United v Aston Villa
9 November 2013
Aston Villa v Cardiff City
Chelsea v West Bromwich Albion
Crystal Palace v Everton
Liverpool v Fulham
Manchester United v Arsenal
Norwich City v West Ham United
Southampton v Hull City
Sunderland v Manchester City
Swansea City v Stoke City
Tottenham Hotspur v Newcastle United
23 November 2013
Arsenal v Southampton
Cardiff City v Manchester United
Everton v Liverpool
Fulham v Swansea City
Hull City v Crystal Palace
Manchester City v Tottenham Hotspur
Newcastle United v Norwich City
Stoke City v Sunderland
West Bromwich Albion v Aston Villa
West Ham United v Chelsea
30 November 2013
Aston Villa v Sunderland
Cardiff City v Arsenal
Chelsea v Southampton
Everton v Stoke City
Hull City v Liverpool
Manchester City v Swansea City
Newcastle United v West Bromwich Albion
Norwich City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Manchester United
West Ham United v Fulham
3 December 2013
Arsenal v Hull City, 7.45pm
Crystal Palace v West Ham United, 8pm
Liverpool v Norwich City, 8pm
Manchester United v Everton, 7.45pm
Southampton v Aston Villa, 7.45pm
Stoke City v Cardiff City, 7.45pm
Sunderland v Chelsea, 7.45pm
Swansea City v Newcastle United, 7.45pm
West Bromwich Albion v Manchester City, 8pm
4 December 2013
Fulham v Tottenham Hotspur, 8pm
7 December 2013
Arsenal v Everton
Crystal Palace v Cardiff City
Fulham v Aston Villa
Liverpool v West Ham United
Manchester United v Newcastle United
Southampton v Manchester City
Stoke City v Chelsea
Sunderland v Tottenham Hotspur
Swansea City v Hull City
West Bromwich Albion v Norwich City
14 December 2013
Aston Villa v Manchester United
Cardiff City v West Bromwich Albion
Chelsea v Crystal Palace
Everton v Fulham
Hull City v Stoke City
Manchester City v Arsenal
Newcastle United v Southampton
Norwich City v Swansea City
Tottenham Hotspur v Liverpool
West Ham United v Sunderland
21 December 2013
Arsenal v Chelsea
Crystal Palace v Newcastle United
Fulham v Manchester City
Liverpool v Cardiff City
Manchester United v West Ham United
Southampton v Tottenham Hotspur
Stoke City v Aston Villa
Sunderland v Norwich City
Swansea City v Everton
West Bromwich Albion v Hull City
26 December 2013
Aston Villa v Crystal Palace
Cardiff City v Southampton
Chelsea v Swansea City
Everton v Sunderland
Hull City v Manchester United
Manchester City v Liverpool
Newcastle United v Stoke City
Norwich City v Fulham
Tottenham Hotspur v West Bromwich Albion
West Ham United v Arsenal
28 December 2013
Aston Villa v Swansea City
Cardiff City v Sunderland
Chelsea v Liverpool
Everton v Southampton
Hull City v Fulham
Manchester City v Crystal Palace
Newcastle United v Arsenal
Norwich City v Manchester United
Tottenham Hotspur v Stoke City
West Ham United v West Bromwich Albion
1 January 2014
Arsenal v Cardiff City
Crystal Palace v Norwich City
Fulham v West Ham United
Liverpool v Hull City
Manchester United v Tottenham Hotspur
Southampton v Chelsea
Stoke City v Everton
Sunderland v Aston Villa
Swansea City v Manchester City
West Bromwich Albion v Newcastle United
11 January 2014
Aston Villa v Arsenal
Cardiff City v West Ham United
Everton v Norwich City
Fulham v Sunderland
Hull City v Chelsea
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Southampton v West Bromwich Albion
Stoke City v Liverpool
Tottenham Hotspur v Crystal Palace
18 January 2014
Arsenal v Fulham
Chelsea v Manchester United
Crystal Palace v Stoke City
Liverpool v Aston Villa
Manchester City v Cardiff City
Norwich City v Hull City
Sunderland v Southampton
Swansea City v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Everton
West Ham United v Newcastle United
28 January 2014
Aston Villa v West Bromwich Albion, 7.45pm
Crystal Palace v Hull City, 8pm
Liverpool v Everton, 8pm
Manchester United v Cardiff City, 7.45pm
Norwich City v Newcastle United, 7.45pm
Southampton v Arsenal, 7.45pm
Sunderland v Stoke City, 7.45pm
Swansea City v Fulham, 7.45pm
29 January 2014
Chelsea v West Ham United, 7.45pm
Tottenham Hotspur v Manchester City, 7.45pm
1 February 2014
Arsenal v Crystal Palace
Cardiff City v Norwich City
Everton v Aston Villa
Fulham v Southampton
Hull City v Tottenham Hotspur
Manchester City v Chelsea
Newcastle United v Sunderland
Stoke City v Manchester United
West Bromwich Albion v Liverpool
West Ham United v Swansea City
8 February 2014
Aston Villa v West Ham United
Chelsea v Newcastle United
Crystal Palace v West Bromwich Albion
Liverpool v Arsenal
Manchester United v Fulham
Norwich City v Manchester City
Southampton v Stoke City
Sunderland v Hull City
Swansea City v Cardiff City
Tottenham Hotspur v Everton
11 February 2014
Arsenal v Manchester United, 7.45pm
Cardiff City v Aston Villa, 7.45pm
Hull City v Southampton, 7.45pm
Stoke City v Swansea City, 7.45pm
West Bromwich Albion v Chelsea, 8pm
West Ham United v Norwich City, 7.45pm
12 February 2014
Everton v Crystal Palace, 7.45pm
Fulham v Liverpool, 8pm
Manchester City v Sunderland, 7.45pm
Newcastle United v Tottenham Hotspur, 7.45pm
22 February 2014
Arsenal v Sunderland
Cardiff City v Hull City
Chelsea v Everton
Crystal Palace v Manchester United
Liverpool v Swansea City
Manchester City v Stoke City
Newcastle United v Aston Villa
Norwich City v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Fulham
West Ham United v Southampton
1 March 2014
Aston Villa v Norwich City
Everton v West Ham United
Fulham v Chelsea
Hull City v Newcastle United
Manchester United v Manchester City
Southampton v Liverpool
Stoke City v Arsenal
Sunderland v West Bromwich Albion
Swansea City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Cardiff City
8 March 2014
Arsenal v Swansea City
Cardiff City v Fulham
Chelsea v Tottenham Hotspur
Crystal Palace v Southampton
Liverpool v Sunderland
Manchester City v Aston Villa
Newcastle United v Everton
Norwich City v Stoke City
West Bromwich Albion v Manchester United
West Ham United v Hull City
15 March 2014
Aston Villa v Chelsea
Everton v Cardiff City
Fulham v Newcastle United
Hull City v Manchester City
Manchester United v Liverpool
Southampton v Norwich City
Stoke City v West Ham United
Sunderland v Crystal Palace
Swansea City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Arsenal
22 March 2014
Aston Villa v Stoke City
Cardiff City v Liverpool
Chelsea v Arsenal
Everton v Swansea City
Hull City v West Bromwich Albion
Manchester City v Fulham
Newcastle United v Crystal Palace
Norwich City v Sunderland
Tottenham Hotspur v Southampton
West Ham United v Manchester United
29 March 2014
Arsenal v Manchester City
Crystal Palace v Chelsea
Fulham v Everton
Liverpool v Tottenham Hotspur
Manchester United v Aston Villa
Southampton v Newcastle United
Stoke City v Hull City
Sunderland v West Ham United
Swansea City v Norwich City
West Bromwich Albion v Cardiff City
5 April 2014
Aston Villa v Fulham
Cardiff City v Crystal Palace
Chelsea v Stoke City
Everton v Arsenal
Hull City v Swansea City
Manchester City v Southampton
Newcastle United v Manchester United
Norwich City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Sunderland
West Ham United v Liverpool
12 April 2014
Arsenal v West Ham United
Crystal Palace v Aston Villa
Fulham v Norwich City
Liverpool v Manchester City
Manchester United v Hull City
Southampton v Cardiff City
Stoke City v Newcastle United
Sunderland v Everton
Swansea City v Chelsea
West Bromwich Albion v Tottenham Hotspur
19 April 2014
Aston Villa v Southampton
Cardiff City v Stoke City
Chelsea v Sunderland
Everton v Manchester United
Hull City v Arsenal
Manchester City v West Bromwich Albion
Newcastle United v Swansea City
Norwich City v Liverpool
Tottenham Hotspur v Fulham
West Ham United v Crystal Palace
26 April 2014
Arsenal v Newcastle United
Crystal Palace v Manchester City
Fulham v Hull City
Liverpool v Chelsea
Manchester United v Norwich City
Southampton v Everton
Stoke City v Tottenham Hotspur
Sunderland v Cardiff City
Swansea City v Aston Villa
West Bromwich Albion v West Ham United
3 May 2014
Arsenal v West Bromwich Albion
Aston Villa v Hull City
Chelsea v Norwich City
Crystal Palace v Liverpool
Everton v Manchester City
Manchester United v Sunderland
Newcastle United v Cardiff City
Stoke City v Fulham
Swansea City v Southampton
West Ham United v Tottenham Hotspur
11 May 2014
Cardiff City v Chelsea
Fulham v Crystal Palace
Hull City v Everton
Liverpool v Newcastle United
Manchester City v West Ham United
Norwich City v Arsenal
Southampton v Manchester United
Sunderland v Swansea City
Tottenham Hotspur v Aston Villa
West Bromwich Albion v Stoke City
Tuesday, June 18, 2013
MBUNGE JOSEPH MBILINYI (SUGU) APATA AJALI LEO
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi amepata ajali hivi punde katika eneo la kasheki wilayani Hanan'g akielekea Arusha mjini.
Joseph Mbilinyi maarufu Sugu alikuwa akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine katika shughuli ya kuaga marehemu waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika ajali hiyo hakuna mtu yoyote amejeruhiwa, Mbunge huyo yuko salama, gari la Sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugongana na basi la abiria.
Joseph Mbilinyi maarufu Sugu alikuwa akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine katika shughuli ya kuaga marehemu waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika ajali hiyo hakuna mtu yoyote amejeruhiwa, Mbunge huyo yuko salama, gari la Sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugongana na basi la abiria.
HIZI NDIO SABABU ZA POLISI KUTUMIA MABOMU KUTAWANYA WATU ARUSHA LEO JIONI

Jeshi
la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na
maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu
kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea
kwenye viwanja hivyo .
Akizungumza
ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema
kutokana na uchunguzi unaoendelea wa tukio la bomu kwenye viwanja hivyo limeonelea kuwa si busara kuweka mkusanyiko wa watu kwani kutaharibu
upelelezi.
Hali
kwenye viwanja hivyo imekuwa ya pilika pilika tangu juzi kwa wafuasi
wa chama hicho kujikusanya tokea asubuhi hadi jioni kwa madai ya
kuomboleza ..
Hata
hivyo viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo walikaidi agizo
hilo na kuanza kujikusanya uwanjani hapo pamoja na wafuasi wa CHADEMA ,
hali iliyoleta mvutano kati ya
viongozi wa jeshi la polisi na wafuasi hao
Wakati mabishano hayo yakiendelea, Askari Polisi mmoja alijichanganya na kuingia
katikati ya wafuasi wa Chadema pembeni mwa uwanja huo ambao walikua wanasubiri kujua utaratibu
wa kuaga miili ya Marehemu waliolipuliwa na bomu
Baada ya hapo,Wafuasi hao hawakupenda kitendo cha Polisi
kujichanganya nao hivyo ikazuka ugomvi huku wakitaka atoke,
baada ya dakika kadhaa
mabumu yalianza kusikika.
Baadhi
ya viongozi wa juu wa chama hicho waliokuwepo uwanjani haponi mbunge wa
jimbo la ubungo John Mnyika,Ezekia Wenje,Tundu lissu, Halima Mdee
Subscribe to:
Posts (Atom)