Watu tisa wamejeruhiwa huku watatu wakiwa 
katika hali mbaya na kupewa huduma ya kwanza katika kituo cha afya cha 
Mtakatifu Philipo na kisha kukimbizwa katika hospitali ya Mkoa Tabora 
Kitete kwa matibabu zaidi,baada ya basi la kampuni ya Shakila lenye 
namba za usajili T 539 AMY, lililokuwa likitoka wilayani Sikonge 
kuelekea mjini Tabora na kuanguka eneo la Kizigo manispaa ya Tabora.
Monday, September 3, 2012
PICHA ZA DIAMONDS AKIWA MAREKANI
Subscribe to:
Comments (Atom)


















