![]()  | 
| Arsenal imekamilisha usajili wa Ozil. Kwa usajili huu Kocha Wenger anakuwa amevunja rekodi yake kwa kutoa hela nyingi katika usajili huu | 
![]()  | 
| Fellaini akiingia kufanya maongezi na Manchester United leo huku akifunikwa ili asipigwe picha | 
![]()  | 
| Golikipa Emiliano Vivianoamejiunga na Arsenal kwa mkopo akitokea Palermo leo | 


