Facebook Comments Box

Saturday, September 15, 2012

MATOKEO YA LIGI YA UINGEREZA BAADA YA MECHI ZOTE KUISHA

England - Premier League
 19:46September 15 

 FTNorwich C.0 - 0West Ham U.

 FTArsenal6 - 1Southampton

 FTAston Villa2 - 0Swansea C.

 FTFulham3 - 0West Bromwich A.

 FTManchester U.4 - 0Wigan Athletic

 FTQueens Park R.0 - 0Chelsea

 FTStoke C.1 - 1Manchester C.

 FTSunderland1 - 1Liverpool


ALIE ANDAA FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME MUHAMMAD (SAW) AKAMATWA NA POLISI




HAPA NDIPO WALIPO KUTANA HENRY STANLEY NA DAVID LIVINGSTONE


Hapa ndipo walipo kutana ilikuwa chini ya muembe. Wazee wa ujiji wanasema muembe huo ulikatwa na kutengenezwa hiki kibaraza na sio muembe unao onekana nyuma ya picha hii


Mwaka 1871 hapa ndipo walipokutana Henry Stanley na david Livingstone Ujiji


Kijana Ibrahim Fivawo kutoka Dar Es Salaam akifanya utalii wa ndani katika sanamu la Henry Stanley na David Livingstone mjini Ujiji



LIVE SCORE: YANGA 0-0 TANZANIA PRISONS - SIMBA 3-0 AFRICAN LYON- AZAM 1-0 KAGERA SUGAR


FT YANGA 0 - 0 TANZANIA PRISONS
Kavumbangu ametoka ameingia Hamis Kiiza 

Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza,Tanzania Prisons 0 - 0 Young Africans
Mpira ni mapumziko, Tanzania Prisons 0 - 0 Young Africans
DK 80: Yanga 0- 0 Prison
DK 30: Yanga 0-0 Prisons

FT SIMAB 3-0 AFRICAN LYON
Uwanja wa taifa Dar -Emmanuel Okwi anaifungia Simba bao la 3. Mpaka sasa Simba 3 African Lyon 0
 Emmanuel Okwi na Chollo wanaipa Simba uongozi wa 2-0 dhidi ya African Lyon -ambao wamekosa penati muda mfupi uliopita ikipigwa na Sammy Kessy.

DK 25: Mpira ume-balance na kila timu ikicheza kwa umakini kuzuia kufunga goli la mapema.

 DK: 10 - Prisons 0 - 0 Yanga

FT AZAM 1 - 0 KAGERA SUGAR
     AZAM 1 - 0 KAGERA SUGAR 

FT JKT OLJORO 1 - 1 TOTO AFRIKA
JKT Oljoro 1- 1 Toto Afrika
JKT Oljoro 1 - 0 Toto Afrika

*******************************************************

1.Ally Mustafa 'Barthez' 1
2.Juma Abdul - 14
3.Oscar Joshua - 4
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' (C) - 23
5.Kelvin Yondan - 5
6.Mbuyu Twite - 9
7.Nizar Khalfani - 7
8.Haruna Niyonzima - 8
9.Said Bahanunzi - 11

10.Didier Kavumbagu - 21
11.Stephano Mwasika - 3

Subs
1.Yaw Berko - 19
2.Shadrack Nsajigwa - 2
3.David Luhende - 29
4.Athuman Idd Chuji - 24
5.Shamte Ally - 15
6.Saimon Msuva - 27
7.Hamis Kiiza Diego - 20

Head Coach: Tom Saintfiet
Assistant Coach: Fred Felix Minziro
Goalkeeper Coach: Mfaume Athumani
Team Manager: Hafidh Saleh
Kit Manager: Mahmoud Omary 'Mpogolo'
Massagist: Jacob Onyango
Team Doctor: Dr Suphian Juma
TANZANIA PRISONS
1: Daudi Abdallah
2:  Henry Mwalungala
3: Laurian Mpalile
4: Lugano Mwangama
5: David Mwantika
6: Khalidi Fupi
7: Sino Agustino
8: Fred Chudu
9: Elias Magali
10: Peter Micheal
11: Ramadhan Katamba


Friday, September 14, 2012

KAMATI ILIYOUNDWA KUCHUNGUZA KIFO CHA MWANGOSI YAIBIWA

Marehemu Daudi Mwangosi.
Ikiwa ni siku moja tu baada ya kufikishwa Mahakamani kwa askari polisi anaetuhumiwa kwa mauaji ya mwandishi wa habari Iringa Daudi Mwangosi, Kamanda wa polisi Iringa Michael Kamuhanda amethibitisha kutokea kwa wizi uliofanywa kwa kamati iliyoundwa kuchunguza kifo hicho.
Namnukuu akisema “ni kweli wamefanyiwa uhalifu hotelini kwao wakiwa hawapo, imeibwa Ipad pamoja na shilingi laki tisa, bado tunamtafuta mwizi ambae bado hajajulikana”
Juzi September 12 ndio askari anaetuhumiwa kusababisha kifo cha Mwangosi alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza na baadae kurudishwa mahabusu.



Thursday, September 13, 2012

MADAKTARI NAIROBI WAGOMA TENA

NAIROBI

Wagonjwa na watu wenye wagonjwa hospitalini nchini Kenya sasa hivi wako kwenye hofu kutokana na kutangazwa kuanza tena kwa mgomo wa Madaktari baada ya serikali kusema haitobadilisha chochote kwenye mishahara ya madaktari.
September 13 2012 Madaktari wote wa hospitali za Serikali Kenya wanatarajia kuanza kugoma kwa sababu serikali haijafanya kama wanavyotaka, yani kuongezewa mishahara.
Katika vichwa mbalimbali vya habari nchini Kenya Mtangazaji William Tuva wa Citizen Radio na Citizen Tv ameripoti pia kwamba baada ya vurugu kuendelea kati ya makabila ya Waorma na Wapokomo kwenye wilaya ya Tana River ambapo inaaminika zaidi ya watu 100 wamefariki dunia wakiwemo Polisi, Mbunge wa Galole ambae ni Naibu Waziri Godana amekamatwa na polisi na kupelekwa Mahakamani akidaiwa kuwa mmoja ya watu wanaohusika na uchochezi wa hizo vurugu, baadae aliachiwa kwa dhamana ya shilingi laki nne za Kenya.
Vurugu za sasa kwenye wilaya ya Tana River zimehusisha watoto pia kuuwawa kikatili na nyumba kuchomwa ambapo wataalamu wa mambo wanasema vurugu hizi zinahusika na siasa, yani kuna wanasiasa wanachochea kwa sababu uchaguzi mkuu unakaribia.
Kwenye sentensi nyingine William Tuva ameamplfy kuhusu mlipuko uliotokea Mogadishu Somalia kwenye hoteli aliyokuwemo rais mpya wa Somalia pamoja na waziri wa mambo ya nje wa Kenya Sam Ongeri lakini hao viongozi wote wamenusurika, waliopoteza maisha ni watu wengine saba.
Waziri huyo wa mambo ya nje alikwenda Somalia kumwakilisha Rais Mwai Kibaki kutoa pongezi kwa rais mpya wa Somalia

IANGALIE iPHONE 5 BAADA YA KUZINDULIWA



Wednesday, September 12, 2012

VIDEO YA ALIE MUUA MWANGOSI AKIWA MAHAKAMANI




RAIS KIKWETE AKIWA KATIKA ZIARA RASMI YA KISERIKALI NCHINI KENYA

Rais Kikwete na Mh Mwai Kibaki wakiingia ikulu Nairobi Kenya

Mh Kikwete akikata utepe kufungua shule ya ukarimu na utalii katika chuo kikuu cha kenyatta

Rais Kikwete akihutubia katika uzinduzi wa shule cha utalii na ukarimu cha chuo kikuu cha kenyatta




ANGALIA DOCUMENTARY HII




SIMBA WACHUKUA NGAO YA HISANI



Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Mkongoro Mahanga akimkabidhi Ngao ya Hisani nahodha wa Simba, Juma Kaseja baada ya kuifunga Azam FC 3-2 katika mchezo wa fainali uliofanyika  leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Add caption  
 Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Azam FC, Aggrey Morris katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 3-2. Mapato ya mchezo huo yataelekezwa katika shughuli za kijamii Hospitali ya Temeke.
Mashabiki wa Simba
 
Akuffo akijaribu kuleta simanzi kwenye lango la Azam
 
 
Heka heka katika lango la Azama FC


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU