| Hapa ndipo walipo kutana ilikuwa chini ya muembe. Wazee wa ujiji wanasema muembe huo ulikatwa na kutengenezwa hiki kibaraza na sio muembe unao onekana nyuma ya picha hii | 
| Mwaka 1871 hapa ndipo walipokutana Henry Stanley na david Livingstone Ujiji | 
| Kijana Ibrahim Fivawo kutoka Dar Es Salaam akifanya utalii wa ndani katika sanamu la Henry Stanley na David Livingstone mjini Ujiji | 
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog