Siku moja baada ya ziara ya kushtukiza ya waziri wa uchukuzi Dk. Harison
 Mwakyembe, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini
 Dar-es-Salaam, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa uwanjani 
hapo katika harakati za kusafirishwa kwenda nchi za nje.
Chuma Kikikatwa ili kutoa Heroin iliyofichwa ndani yake.
Heroin ikionekana baada ya Chuma kukatwa kama unavyoona hapo pichani.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog

