Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe ACP Fulgency Ngonyani akizungumza na 
mwandishi wa Mtandao Huu bwana Prosper Mfugale Juu ya Tukio Hilo.
Mkazi
 Mmoja wa Mtaa wa Idundilanga Mjini Njombe Yasinta Mdetele Mwenye Umri 
wa Miaka 25 Amefariki Dunia Wakati Akijaribu Kutoa Mimba.
Amesema Marehemu Alikutwa Chumbani 
Kwake Akiwa Amefariki Huku Pembeni Yake Kukiwa na Mtoto wa Kike Ambae 
Pia Alikutwa Amefariki na Kuongeza Kuwa Marehemu Hakuacha Ujumbe Wowote 
na Hakuna Mtu Yoyote Anaeshikiliwa Kutokana na Tukio Hilo.
Ameongeza Kuwa Jeshi la Polisi 
Linaendelea na Uchunguzi wa Tukio Hilo na Kutoa Wito Kwa Wananchi Kuacha
 Vitendo Vya Utoaji Kwani ni Kosa la Kisheria na Pia Linaweza 
Kuhatarisha.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog