Facebook Comments Box

Wednesday, May 1, 2013

JACKLIN WOLPER NDANI YA GARI JIPYA LA KIFAHARI


Jacky Wolper a.k.a 'Wolper Gambe' na ndinga yake mpya “Mini Cooper”. Jambo la
 kufurahisha kuhusu gari hili ni kwamba, kwa nyuma chini ya plate number mwanadada katupia maandishi ya steel kabisa kama yametoka kiwandani na gari lenyewe..yanasomeka “WOLPER GAMBE” ambalo ni jina analotumia kwenye mitandao mingi ya kijamii.
 
Upande wa pili nilipomuuliza Wolper ni pesa kiasi gani zimemtoka kuvuta ndinga hiyo akasema siri yake..nikatafute kwenye internet. Basi sawa.mtandao wa mini.co.za ambao ndio dealers wa Mini Cooper kusini mwa jangwa la Sahara wameonesha price ya R233,462 kwa Mini Cooper yenye muonekano kama hii ya Wolper tukizingatia version ya gari husika..ambapo kwa pesa za Tanzania ni Tsh 42,012,236.






 





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU