Mbunge
 wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (aliyevaa miwani katikati), akifuatwa 
na wananchi baada ya kumaliza mkutano wa kuelezea utekelezaji wa Ilani 
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Temeke, Dar es Salaam hivi 
karibuni.
 Mbunge
 wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, Abbas Mtemvu akihutubia katika 
mkutano wa hadhara wa kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha 
Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Temeke, Dar es Salaam hivi karibuni.  
 Mbunge
 wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akimsikiliza Mweka Hazina wa Kikundi 
cha Kuweka na Kukopa (VICOBA), Anjela Ndigula ambaye alipokea sh. 50,000
 alizotoa msaada kwa Muya Thabit ili ajiunge na kikundi hicho, baada ya 
kuambiwa hana haki hivyo anashindwa kulipia pango. Msaada huo aliutoa 
katika mkutano wa hadhara wa kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha 
Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Temeke, Dar es Salaam hivi karibuni.
 Muya Thabit akicheza kwa furaha baada Mbunge Mtemvu kumsaidia fedha za kujiunga na vicoba
 Diwani wa Kata ya Temeke, Khamis Nsombo, akiwazawadia fedha wasanii wa kikundi cha Msimamo
Mbunge
 wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akikizawadia fedha kikundi cha sanaa 
cha Msimamo kilichokuwa kinatumbuiza katika mkutano wa hadhara wa 
kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata 
ya Temeke, Dar es Salaam hivi karibuni. Pia aliahidi kukipatia kikundi 
hicho sh. 500,000 za kununulia vifaa.
                           Muya Thabit akiomba fedha kwa Mbunge Mtemvu ili alipe pango
                                    Wananchi wakiuliza maswali kwa Mbunge wao Mtemvu
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog