Matundu matatu ya risasi katika kioo cha gari lililovamiwa na majambazi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BD3XHf0TKkQ/UZ3fKAXTCPI/AAAAAAAAfNU/jXifJBH2XCA/s1600/GARILAVAMIWA2.jpg) |
Wanausalama barabarani wakichukua taarifa eneo la tukio. |
Majambazi
yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer
yamevamia gari ndogo aina ya VITZ N a kuwajeruhi watu wawili wenye
asili ya asia na kupora kiasi cha fedha ambacho bado thamani yake
haijafahamika mara moja.