Ukipita kwenye mitaa ya Washington DC katika mtaa wa colombia na 
18 street [adams morgan]. Utona kuna mabango na Matagazo kuhusu uonevu 
unaofanywa na serikali ya Tanzania. Ni picha za akina mwangozi,
 mauaji ya morogoro, mauaji kule songea, na arusha. Watu wengi 
wanasema hii Tanzania si inchi ya amani hii imetoka wapi tena?.Kuna 
mwingine akasema imebadilika sana. Tunachotakiwa ni kupiga simu au 
kumweleza congress man wako kuhusu hii issue. Tupate ukweli wake.
HII NI HATA RI SANA..  | 
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog