1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}.
UBUNGO PLAZA GHOROFA YA KWANZA.
OFISI YA MHANDISI WA MANISPAA YA ILALA
MABALA NA SHOPRITE SUPEEMARKET JIRANK NA KAMATA
Mweyekiti wa The Islamic Foundation Brother Aref Nahdi akiwa na
Mkurugenzi wa habari Tanzania Mr Mwambene, kujadili maombi
ya kibali cha GAZETI IMAAN.
Taasisi hio imeshafanya maombi Rasmi ya Gazeti la Imaan Hivyo
inasubiri Majibu ya kupewa leseni, Dua na Michango yenu ni muhimu
sana.
Kwa sasa taasisi hiyo inamiliki Tv Imaan ambayo inapatikana katika satellite dish pamoja na king'amuzi cha startimes katika miji mikubwa yote Tanzania.
Vilevile wanamiliki Radio Imaan ambayo inasikika katika eneo kubwa la Tanzania na baadhi ya maeneo ya nchi jirani.
Tv Imaan
Radio Imaan
Gazeti Imaan.......Inshallah.
The Islamic Foundation's Chairman Aref Nahdi and CEO for Radio and
TV Imaan Shk Ally Ally Ajran signed Aggrement with Startimes for 6
regions Dar es salaam, Morogoro, Dodoma, Arusha, Mwanza and
Mbeya. The Startimes will charge Tv Imaan US $ 11,300 equivalent to
Tshs 18,588,500 per month for service provider per annum is UD $
135,600 = Tshs 223,062,000.
Watu wengi wakiwa wametafsiri kuwa ni ujengwaji wa chini ya kiwango wa baadhi ya sehemu za barabara za mabasi yaendayo kasi baada ya kuona sehemu hii ambayo imeharibika kabla ya kutumiwa.
Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo iliyo haribika.
Kwa wale waliokuwa wakikosa vipindi bora na vyenye maadili na kuelimisha kwa ajili ya familia na jamii kwa ujumla sasa Tv Imaan imerudi hewani na sasa ipo kwenye matangazo ya majaribio.
Wenye satellite dish wataipata Tv Imaan
satellite ..intelsat 906 64°E
Frequency....4069
Symbol Rate ..... 2500
Polarization. .....Vertical
wenye kingamuzi cha startimes waliopo morogoro wataipata pia.
TV IMAAN
ELIMU BILA MIPAKA.
Ligi kuu ya uingereza imefika pagumu ambazo Arsenal na Everton wakiwa wamebakiza mechi tano tatu nyumbani na mbili ugenini.
Everton wana points 66 na Arsenal 64 wakiwa na mchezo sawa
Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonesha hali ilivyo sasa mto ruvu.
Mpaka sasa daraja hilo halipitiki hamna gari lililopita kwenda morogoro na Arusha wala kuja huku Dar es salaam.
Yule gwiji wa uimbaji ambae alistaafu kuimba hivi karibuni amefariki dunia leo saa saba.
Allah amrehemu na amuwepesishie mazito
Msiba upo nyumbani kwake mabibo makuburi.
Ile helkopta iliyo dondoka leo Jijini Dar es salaam ilikuwa imewabeba Makamu wa raisna kamanda Kova na mkuu wa mkoa Said Meck Sadiq kwa ajili ya kukagua maeneo yaliyo pata mafuriko.
Ila wote wamesalimika na wazima wa afya. Ajali hiyo haijaacha athari kubwa kwao kwasasa wanatakiwa majeruhi yao hospitali.