
Klabu
ya Simba ya Dar es Salaam imefanikiwa kumsajili mfungaji bora wa
michuano ya Kagame Cup 2013 Hamis Tambwe kutokea Vital O ya Burundi.
Tambwe ambaye pia alikuwa akiwania na mabingwa wa Tanzania bara Yanga, amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba.

Tambwe amesaini mkataba huo mbele ya mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog