Wednesday, October 30, 2013
Tuesday, October 29, 2013
MTOTO WA DARASA LA SITA APOOZA MIGUU MARA BAADA YA KUCHAPWA FIMBO NA MWALIMU WAKE
Mtoto Ismail
Godfrey akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar.
MWANAFUNZI wa darasa la sita, Ismail Godfrey (13)
anayesoma katika Shule ya Msingi Maendeleo Sinuka iliyopo
mkoani Kigoma amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya
kudai kutandikwa viboko na Mwalimu Muige Joseph na
kupooza miguu.
Mtoto huyo ambaye kwa sasa anapata matibabu katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kukosa
matibabu ya kina mkoani Kigoma alipokutana na mwandishi
wetu alikuwa na haya ya kusema:
“Awali sikuwa na matatizo yoyote ya kiafya hususan katika
viungo vya mwili, isipokuwa haya yalinipata baada ya
kuchapwa fimbo na mwalimu wangu ndipo nikapooza ghafla.
KING'AMUZI CHA AZAM
Ukifungiwa king'amuzi hiki utapata chaneli 35 bure na ukilipia 12, 500 utapata chaneli zaidi ya 50.
Azam Tv itaanza kurusha matangazo yake katikati ya mwezi wa novemba.
Monday, October 28, 2013
HIZI NDIO CHANELI ZINAZO PATIKANA KWENYE KING`AMUZI CHA AZAM MEDIA
Chaneli walizo weka ni hizo hapo chini:
FILAMU:
1.Sinema Zetu 2.MGM Movies 3.African Movie Channel 4.Zee Cinema 5.Star Gold
BURUDANI:
1.Azam 1 2.Azam 2 3.Fox Entertainment 4.FX 5.e.tv 6.ZOOM 7.Star Plus 8.Zing 9.Colours 10.Euro Channel
MICHEZO:
1.Setanta Africa 2.Kombat Sports 3.MCS Compact 4.MCS Extreme
MUZIKI:
1.MTV BASE 2.MTV India 3.Box TV
MAARIFA:
1.Nat Geo 2.Discovery Investigation 3.Discovery Science
MAISHA:
1.Fine Living 2.Outdoor 3.Landscape
HABARI:
1.BBC News 2.Al-Jazeera - English 3.Al-Jazeera - Arabic 4.ENCA 5.Times Now
WATOTO:
1.Kids Co 2.Nickelodeon 3.Al-Jazeera - Kids
CHANELI ZA BURE:
1.TBC 2.Clouds TV 3.ZBC 4.Channel 10 5.Mlimani TV 6.KBC 7.Citizen 8.K24 9.KTN
| Tangazo la Azam Tv linalo onesha kuwa kutakuwa na Chaneli kuanzia hamsini |
| Picha ya maelezo ya facebook ya ukurasa wa Azam TV |
PICHA: AJALI MBAYA KWENYE MPAKA WA SONGWE NA MBOZI: WATANO WAPOTEZA MAISHA













CHANZO: MBEYA YETU BLOG
BABA AWACHOMA WATOTO MOTO BAADA YA KUZIDIWA NGUVU NA MAMA YAO
![]() |
| Mtoto aliyefariki |
![]() |
| Watoto ambao wako hoi |
NI JAMAL MALINZI
Malinzi alishika nyadhifa mbalimbali Yanga zikiwemo seneta, mkurugenzi wa kuchaguliwa, kaimu katibu mtendaji na katibu mkuu.
HOTUBA YA KWANZA YA JAMAL MALINZI BAADA YA KUSHINDA UCHAGUZI
Sunday, October 27, 2013
PICHA YA LEO: WACHEZAJI WA YANGA NA SIMBA WASALI PAMOJA
Picha chini ni timu B ya Yanga na simba walisali pamoja baada ya pambano lao kuisha kwa suluhu ya goli moja kwa moja.
Huu ndio mchezo wa kiungwana hongereni vijana mmeonesha njia





