
Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili T378ADR likiobnekana muda mchache baada ya kupata ajali.

Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili T378ADR likiwa limeharibika vibaya mara baada ya kupata ajali hiyo

Kiatu cha Abiria kikiwa kimebaki baada ya ajali hiyo

Wakazi mbalimbali wa mpakani mwa Mbozi na Songwe wakishuhudia Ajali hiyo

Hapa Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili T378ADR baada ya kupata ajali

Baadhi ya watu wakiangalia kama kutakuwa na watu wamebakia katika ajali hiyo


Usukani wa Dereva ukiwa umetoka mara baada ya ajali hiyo

Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili T378ADR linavyo onekana kwa mbele


Hivi ndivyo Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili T378ADR lilivyo haribika

Wananchi Mbalimbali wakiwa wanashuhudia ajali hiyo na kutoa msaada

CHANZO: MBEYA YETU BLOG
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog