Tuesday, September 4, 2012
UNAJUA KARUTA PRIMARY ILIKUWA INAITWAJE ZAMANI?
Hii ni picha ya Karuta Primary School ambayo ilijengwa hapo na wamisionari wa enzi hizo na ilikuwa ikijulikana kama Ujiji White Father Central School ikiwa na darasa la tano mpaka la nane.Na hapa ndipo aliposoma nguli wa mpira tanzania Sunday Manara Computer.
Monday, September 3, 2012
BASI LA KAMPUNI YA SHAKILA LAPATA AJALI TABORA
Watu tisa wamejeruhiwa huku watatu wakiwa
katika hali mbaya na kupewa huduma ya kwanza katika kituo cha afya cha
Mtakatifu Philipo na kisha kukimbizwa katika hospitali ya Mkoa Tabora
Kitete kwa matibabu zaidi,baada ya basi la kampuni ya Shakila lenye
namba za usajili T 539 AMY, lililokuwa likitoka wilayani Sikonge
kuelekea mjini Tabora na kuanguka eneo la Kizigo manispaa ya Tabora.
PICHA ZA DIAMONDS AKIWA MAREKANI
Friday, August 31, 2012
USAJILI SIKU YA MWISHO NA WALIO KAMILISHA USAJILI
![]() |
| Hatimaye Dimitar Berbatov amehamia rasmi Fulham kutoka Manchester United kwa ada ya £5million |
![]() |
| Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Douglas Maicon amesajiliwa kutoka Inter Milan kwenda Manchester City |
![]() |
| Charlie Adam amejiunga na Stoke City City akitokea Liverpool kwa ada ya £4MILLION |
![]() |
| Andy Carroll amejiunga na West Ham kwa mkopo wa mwaka mzima |
![]() |
| Rafael Van Der Vaart amejiunga na Schalke akitokea Tottenham Hotspur |
![]() |
| Pablo Hernandez amejiunga na Swansea City akitokea Valencia ya Spain |
![]() |
| Scott Sinclair amekamilisha uhamisho wake kutoka Swansea na kuhamia kwa mabingwa wa England Man City |
![]() |
| Nicklas Bendtner amehama Arsenal na kwenda kujiunga na Juventus ya Italia |
NI KWELI MICHAEL ESSIEN ANAENDA ARSENAL?
Kuna uvumi umezagaa ndani ya jiji la London kuwa Michael Essien anahitajika Arsenal kwa mkopo. Yamebaki masaa kadhaa ili kumalizika muda wa usajili. Tusubiri hadi mwisho tuone jembe hili litaenda kwa washika bunduki.
Subscribe to:
Posts (Atom)












