Facebook Comments Box

Tuesday, September 4, 2012

MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 04


.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.


UNAJUA KARUTA PRIMARY ILIKUWA INAITWAJE ZAMANI?

Hii ni picha ya Karuta Primary School ambayo ilijengwa hapo na wamisionari wa enzi hizo na ilikuwa ikijulikana kama Ujiji White Father Central School ikiwa na darasa la tano mpaka la nane.Na hapa ndipo aliposoma nguli wa mpira tanzania Sunday Manara Computer.

UJENZI WA BARABARA KATIKA MTAA WA PANGANI JIJINI ARUSHA






Monday, September 3, 2012

BASI LA KAMPUNI YA SHAKILA LAPATA AJALI TABORA

Watu tisa wamejeruhiwa huku watatu wakiwa katika hali mbaya na kupewa huduma ya kwanza katika kituo cha afya cha Mtakatifu Philipo na kisha kukimbizwa katika hospitali ya Mkoa Tabora Kitete kwa matibabu zaidi,baada ya basi la kampuni ya Shakila lenye namba za usajili T 539 AMY, lililokuwa likitoka wilayani Sikonge kuelekea mjini Tabora na kuanguka eneo la Kizigo manispaa ya Tabora.

PICHA ZA DIAMONDS AKIWA MAREKANI


Diamond Platnums akiwa Washington Marekani na dancers wake, hii ni kwa mwaliko wa kuperform kwenye ardhi ya Obama.

.

.

.

.

.

.
Jinsi alivyopokelewa…

.

.

.

Picha zote ni kutoka kwenye website yake.


PICHA ZA MWANDISHI ALIE ULIWA IRINGA

TAHADHARI, kuna picha ya kutisha kwenye eneo la tukio.

.

Mwandishi David mwenye sweta la rangi ya udongo akipiga picha nusu saa kabla ya kifo chake.

.

.

.

Mwili wa Marehemu Daudi ukiwa chini baada ya kulipukiwa na bomu.

Gari la Chadema lililovunjwa kioo wakati wa vurugu. (Picha zote zimepigwa Francis Godwin )

Marehemu Daudi,


Friday, August 31, 2012

USAJILI SIKU YA MWISHO NA WALIO KAMILISHA USAJILI


Hatimaye Dimitar Berbatov amehamia rasmi Fulham kutoka Manchester United kwa ada ya £5million

Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Douglas Maicon amesajiliwa kutoka Inter Milan kwenda Manchester City

Charlie Adam amejiunga na Stoke City City akitokea Liverpool kwa ada ya £4MILLION



Andy Carroll amejiunga na West Ham kwa mkopo wa mwaka mzima

Rafael Van Der Vaart amejiunga na Schalke akitokea Tottenham Hotspur

Pablo Hernandez amejiunga na Swansea City akitokea Valencia ya Spain

Scott Sinclair amekamilisha uhamisho wake kutoka Swansea na kuhamia kwa mabingwa wa England Man City

Nicklas Bendtner amehama Arsenal na kwenda kujiunga na Juventus ya Italia


NI KWELI MICHAEL ESSIEN ANAENDA ARSENAL?

Kuna uvumi umezagaa ndani ya jiji la London kuwa Michael Essien anahitajika Arsenal kwa mkopo. Yamebaki masaa kadhaa ili kumalizika muda wa usajili. Tusubiri hadi mwisho tuone jembe hili litaenda kwa washika bunduki.

 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU