Facebook Comments Box

Tuesday, August 28, 2012

VURUGU KATI YA POLISI NA CHADEMA IRINGA

Kumetokea vurugu leo wakati wa jioni katika mji wa Iringa mjini kati ya Polisi na wafuasi wa  Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Vurugu hizi zilitokea mitaa ya Miyomboni
Wananchi wakishuhudia kwa mbali vurugu kati ya wanaodaiwa wafuasi wa CHADEMA na Polisi eneo la Iringa Miyomboni


MSIKITI WA IJUMAA KITONGONI

Masjid Jumaa Kitongoni (Sunni walJamaa Istiqama)



MAGAZETI YA LEO AUGUST 28, 2O12



































KILICHOJIRI FIESTA TANGA

Wakati wanamuziki mbalimbali wakiwa kwenye tour kubwa ya viesta. Hapa tunakuletea video ya binti kutoka Kigoma maarufu kwa jina la Rachel akiwa anashambulia jukwaa.Baadhi ya wasanii walioshambulia jukwaa la fiesta jana ni Juma Nature, Roma Mkatoliki, FA, Prezzo, Jambo Squad, Linah, Bob Juniour, Joh Makini na wengine.
Hapa ni video ya rachel akiwa jukwaani. 



Monday, August 27, 2012

KITONGONI MNAIKUMBUKA BLACK FIGHTER FOOTBALL CLUB?

Mmoja wa wadau wa kitongoni blog Ramadhan Sendah kulia akiwa na wachezaji wa zamani wa Black Fighter Football Club katikati ni Mbayo Masoud ambaye alikuwa ni kiungo wa timu ya Black Fighter FC na Kapteni Mabo akijulikana enzi hizo kama Umeme. Wakati Mbayo alikuwa kiungo wa chini dimba la juu lilikuwa likishikwa na Kapteni Mabo (Umeme)
Mbayo Masoud watu hawana historia ya kumuona akikosa penati. Kila ikipatikana penati akishika mpira uwanja mzima wananyanyuka kushangilia goli kabla hajapiga.
Wadau mnawakumbuka hawa?

ZIARA YA YANGA IKULU RWANDA

Hapa akikabidhiwa kombe na nahodha wa timu ya Yanga Nadir Haroub Canavaro na kocha wa Yanga



Hapa Rais Kagame akiwahutubia na kuwapongeza

 Mwenyekiti wa Yanga Manji akimsikiliza kwa makini Mh Rais Kagame

Hapa Mwenyekiti wa Yanga akitoa risala yake kwa Rais

Hapa Rais akiwakaribisha

Bahanuzi mfungaji bora wa kombe la afrika mashariki na kati akigawa shughuli huko Rwanda
Hapa akikabidhiwa jezi




JEZI ZA YANGA ZAGOMBEWA RWANDA

Picha mbalimbali zikionesha wananchi wa Rwanda wakigombea jezi za Young Africans sports Club (Yanga). Yanga ndio mabigwa wa kombe la Africa mashariki na kati linalosimamiwa na CECAFA maarufu kwa jina la Kagame.








 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU