WAKATI Wema Isaac Sepetu akiongeza idadi ya magari kwa kununua mkoko wa maana, zilipendwa wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemziba mdomo baada ya kununua eneo kubwa ambalo ndani yake kuna nyumba tatu, jirani na anapoishi Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006, Ijumaa Wikienda lina maelezo kamili.
Diamond.
Akizungumza na gazeti, hili muda mfupi baada ya kukamilisha kila
kitu kuhusiana na ununuzi wa eneo hilo ambalo kwa mujibu wake anatarajia
kujenga jengo lenye ghorofa nne na nyumba za kawaida tatu, Diamond
alisema kuwa anajitahidi kuongeza idadi ya mijengo anayomiliki kwa kuwa
ndicho kitu cha thamani kuliko magari.
Wema.
Katika hali iliyotafsiriwa kuwa ni kumtunishia msuli Wema, jamaa
alitupia maneno: “Mimi siyo kama hao wanaokimbilia kununua magari ya
kifahari ili mradi waonekane wako juu kifedha.Eneo alilonunua Diamond anayemiliki nyumba zaidi ya tano Dar lipo mtaa wa nne kutoka anapoishi Wema.
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog