Haruna Shamte akipambana na Simon Msuva wa Yanga. |
![]() |
Nahodha wa Yanga Nadir Haroub akinyanyua ubingwa wa ligi kuu ya VODACOM msimu wa 2012/2013 |

kikosi cha Simba kilichoanza hii leo. |
Makocha wa Yanga Ernest Brandts pamoja na Felix Minziro wakijadiliana jambo. |
Sir Juma Nature pia alikuwepo kutoa burudani. |

Hili ndo lilikuwa bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Didier Kavumbagu kwa kichwa. |
Mrisho Ngassa akiwa amevalishwa jezi ya YANGA kwa mara nyingine tena huku akiwa amefurahi kweli kweli. |
Mwamuzi wa mchezo wa leo Saanya akiwa chini mara baada ya kuumia. |
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog