| Mwenye kofia nyeupe hapo ni mmoja wa hao washukiwa wawili. |
| Huyu ni mshukiwa mwingine na hapa ilikua kabla bomu halijalipuka, hii picha inawaonyesha wakielekea kwenye sehemu ambayo mbio ndio zinamalizikia ambako ndiko kulikolipuka. |
.
| Huyu ndio yule mshukiwa namba 1 anaeonekana kwenye picha ya kwanza hapo juu. |
| mshukiwa namba 1 |
.
| Hapa ilikua baada ya bomu kulipuka ambapo mshukiwa namba 1 mwenye kofia nyeupe hapo kushoto ndio alikua anaondoka mdogo mdogo |
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog