![]() |
Ngassa akimtoka beki wa Libolo, Antonio Cassule |
![]() |
Haruna Chanongo wa SImba akipasua katikati ya wachezaji wa Libolo |
![]() |
Ngassa akimtoka Cassule |
![]() |
Ngassa na Cassule |
![]() |
Kiungo wa Simba SC, Amri Kiemba (kushoto) akiwania mpira dhidi ya beki wa Libolo, Pedro Ribeiro kulia |
![]() |
Simba na Libolo wakiingia uwanjani |
![]() |
Kikosi cha Libolo leo |
![]() |
Simba wakiomba dua na nyuma yao ni Libolo pia wakiomba dua |
![]() |
Kikosi cha Simba SC leo |
![]() |
Wachezaji wa Simba SC wakiwapungia mikono mashabiki wao kabla ya mechi |
![]() |
Mrisho Ngassa akipiga krosi baada ya kufanikiwa kumtoka beki wa Libolo |
![]() |
Kipa wa Simba, Juma Kaseja akienda kuokota mpira nyavuni baada ya Libolo kufunga bao |
![]() |
Libolo wakiwapungia mikono mashabiki wao baada ya mechi kuwashukuru kwa kuwashangilia |
![]() |
Haruna Moshi 'Boban' (kushoto) akipiga shuti mbele ya beki wa Libolo |
![]() |
Beki wa Simba, Juma Nyosso akimiliki mpira mbele ya beki wa Libolo |
![]() |
Haruna Chanongo akipasua katikati ya mabeki wa Libolo |
![]() |
Kiungo wa Libolo, Manuel Lopez akiondoka na mpira baada ya kumzidi maarifa Mwinyi Kazimoto wa Simba SC |
![]() |
Manuel Lopez kulia akigombea mpira na Mwinyi Kazimoto wa Simba SC kushoto |
![]() |
Mwinyi Kazimoto akigombea mpira wa juu na kiungo wa Libolo |
![]() |
Beki wa Simba SC, Shomary Kapombe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Libolo |
![]() |
Haruna Moshi 'Boban' akimtoka beki wa Libolo |
![]() |
Amri Kiemba akimtoka beki wa Libolo |
![]() |
Mwinyi Kazimoto wa Simba akigombea mpira wqa juu na kiungo wa Libolo |
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog