Mabasi ya timu hizo kama yanavyo onekana hapa:
Andrea Pirlo kama anavyo onekana hapo akishuka kwenye ndege:

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa fundi mitambo Mkuu wa
Azam TV Bw. Mehdoub al Hadad juu ya namna gari la kurusha matangazo nje
ya studio (OB Van) linavyofanya kazi wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi
wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es
salaam.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa na Bw. Saidi Salim Bakhressa wakati
alipohudhuria sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo
iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara pamoja na uongozi na
baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa
studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam.



































