Monday, December 29, 2014
Tuesday, December 23, 2014
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI ASIMAMISHWA KAZI
Kutokana na hotuba ya Mh Rais Prof Jakaya Mrisho Kikwete kutaka uchunguzi ufanyike ili ajiridhishe kuhusu sakata la Escrow katibu mkuu kiongozi amemsimamisha katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini ili uchunguzi ufanyike.
Chini ni tangazo lililoelezea kuzimamishwa kazi kwa katibu mkuu huyo.
Chini ni tangazo lililoelezea kuzimamishwa kazi kwa katibu mkuu huyo.
HII NDIO CV YA KATIBU MKUU MPYA WA YANGA
Dr. Jonas B. Tiboroha (Ph. D)
Personal Particulars
• Date of Birth: 25th September 1969.
• Place of Birth: Kasulu.
• Marital status: Married
• Nationality: Tanzanian.
• Employer: University of Dar es salaam (UDSM)
Education Background
• PhD (Education), Malmo University, Sweden Sept
2010 – August 2013, Awarded at the University of
Dar es Salaam, November, 2013.
• MSc. Exercise and Sports Sciences (Training
Methods); Norwegian University of Sport and
Physical Education – Oslo, Norway, August 2002 –
Feb 2004
• BSc Exercise and Sport Sciences: Norwegian
University of Sport and Physical Education- Oslo,
Norway, August 1999 - June, 2002
• Norwegian Language Certificate for Foreigners:
University of Oslo, Norway; September 1998 – May
1999.
• BEd. Physical Education Sport and Culture;
University of Dar es Salaam- Tanzania – Sept 1994
– May 1998.
Professional Experiences and Community Services
• Technical Development Officer at the Tanzania
Football Federation, October 2014 – Now.
• Part time Lecturer Saint Augustine University
College, Tabora campus, 2013 – Now.
• Part time Lecturer University of Gaborone –
Botswana, 2013 –Now.
• U-15 Manager, Malmo Football Club, Malmo
Sweden; October 2010 - 2013
• Lecture: School of Education, Department of
Physical Education and Sport Science, University
of Dar es salaam – since Jan, 2008 – Now.
• Assistant Lecturer; The School of Education,
Department of Physical Education and Sport
Science, University of Dar es salaam – since Jan,
2005 – 2008
• Lecturer in Sports Biomechanics, Exercise
physiology, Theories and Methods of Sports
Training, Measurement and evaluation of Higher
Performance Athletes and Research Methodology
in Physical Education and Sports Science, 2005 -
Now.
• Reporteur TAFCA Conference on Key Aspects of
Football Development in Tanzania. Held at the
Waterfront Conference Center from 18th – 22th
September 2008. Report Submitted.
• Founder and Director of Talent Identification,
Mobilization and Development Organization
(TIMaD); A Community Based Organization for
Promoting Football Talents in Youth – since
December 2004 - Now.
• Chief Coach Wakati Ujao Football Academy; An
academy led by TIMaD for Promotion of Youth
football Talents, 2004 – Now.
Professional Courses, Seminar and Conferences
Attended.
• Conference of Sports Management held at UDSM
November, 2013
• European Conference of Sports Science held at
Malmo, Feb 2012.
• CAF License C in September 2011
• Conference on Coach Education on Analysis of
Global Issues and Challenges held in Amsterdam,
Netherland, 10th – 15th January 2011.
• FIFA Comm-Unity Seminar on Women Football
Development Held at PPF Tower Dar es Salaam,
Tanzania from 25th – 28th October 2011.
• Symposium on Women and Sport for
Empowerment held in Stockholm, Sweden, from
8th – 12th Feb 2011.
• MRC/UCT Conference on Sports Medicine Held at
the University of Cape Town, South Africa from
16th – 19th September, 2009.
• TAFCA Conference on Key Aspects of Football
Development in Tanzania. Held at the Waterfront
Conference Center in Dar es salaam, Tanzania,
from 18th – 22th September 2008, Report
Submitted.
• DFB Advanced Football Coaching Course for
Youth Football Development, held at the
Department of Physical Education and Sports
Science University of Dar es salaam, Tanzania
from 14th – 18th September, 2007.
• KNVB Course for Coaching Youth Football held at
the International School of Tanganyika Dar es
salaam, Tanzania in 2002.
• The FIFA Course on Coaching Youth Football,
Held at the National Stadium in 2007.
• The TFF/TAFCA Course on Youth Football and
Grassroots Development held at the TFF
Conference Hall, Dar es salaam, Tanzania, 2006.
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway November 2004
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2003
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2002
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2001
• Intermediate Course in Coaching Football in Dar
es salaam, Tanzania in 2001.
• Preliminary Course in Coaching Football in Dar es
salaam, Tanzania in 1996.
Sports Activities and Youth Development
Programs Participated as a Coach
• The EDUSPORT Regional Football Tournaments
for Youth in Lusaka, Zambia 2010 and 2011 with
Wakati Ujao.
• The Rollingstone Youth Tournaments in Arusha,
2009, 2010 and 2011 with Wakati Ujao.
• Taysa Tournaments in Dar es salaam 2005, 2006,
2007 and 2008 With Wakati Ujao.
• Gorthia Cup in Gotenberg, 2000, 2001, 2002 and
2004 with Staeback youth team of Oslo.
• Norway Cup; 1999, 2000, 2001, 2002, 2003 and
2004 with Staeback youth team of Oslo.
• Tivoli Cup; 2000, 2001, 2002 and 2004 with
Staeback youth team of Oslo.
• Gorthia Cup 2006 with Wakati Ujao of Dar es
salaam, Tanzania
• Tivoli Cup 2006 with Wakati Ujao of Dar es
salaam, Tanzania.
• Norway Cup 2006 with Wakati Ujao Dar es
salaam, Tanzania.
Sports Related Publications, Reports and Papers
Presented
• Tiboroha, J (2014). The development dilemma
facing youth football coaches: A case of Managing
and engaging volunteer academy coaches.
Submitted at the International Journal of Sports
and Coaching.
• Tiboroha, J. (2014) Adoption of FIFA Youth
Football Coach Education: A rhetoric or reality. In
for publication, Scandinavian Journal of Sports
Studies
• Tiboroha, J. (2013). Transnational Coaching
Education Courses in Tanzania: An investigation
on the Adoption Process and Barriers for Coaches
to Participate. A Thesis Submitted in Fulfilment of
the Doctoral Degree in Sports Science at the
University of Dar es Salaam.
• Tiboroha, J. (2005). The Influence of Strength
and Endurance on Elite football players’ Jumping
and Sprinting Abilities: A comparative Study on
Tanzanian and Norwegian Elite football Players,
ActaScandinavia Journal, 5(2) 14-16.
• Tiboroha, J. Physiological Demands of Young
Amateur football Players: A study on Dar es
salaam UMISETA, Team-Manuscript, Idrotts forum
journal, October 2009.
• Tiboroha, J. The Implementation of Health School
Programs in Tanzania: A Critique to the
Implementation of the MDGs in Tanzanian
Education System. A paper presented at the
EdQUAL Doctoral Conference held at the University
Bouya, Cameroon, 8th – 15th December, 2010.
• The Physical Status of Tanzanian Olympic
Swimmers one Year after Beijing: What do we learn
on the demands and levels of competitiveness? A
paper presented at the Tanzanian Swimmers
Association Seminar, Held at the Millennium
Towers Hotel 12 – 14 December, 2009.
• Tiboroha, J. The Making of Professionals in the
Development of Quality Physical Education. Paper
presented in the Annual analysis of Physical
Education status in Sub Saharan African
Countries, Bulawayo, Zimbabwe, March, 2007
• Tiboroha, J. Challenges and Prospect of Fitness
and Health promotion in Tanzanian Primary
Schools, Papers in Education and Development
Journal, May 2006.
• Tiboroha, J. Mainstreaming Physical Education in
Primary and Secondary schools for Promotion of
Sports, Tanzania Institute of Education Quarterly,
May 2009.
• Tiboroha, J. Challenges in Organizing Physical
Activities to promote Health in People with special
needs – Paper presented to the Eastern African
conference for Fitness and Health to People with
Special Needs – October 2005
Academic Visits and Scholarships Received
• The World Bank’s “Quick Wins Project”,
Scholarship for PhD Study on The Transnational
Youth Football coaching courses in Tanzania: An
investigation on the adoption process and barriers
for coaches to participate, August 2010 – May
2013
• The SIDA-SAREC research fund on the desk-
review of the eliciting factors for poor youth socio-
economic development in Tandale: What can youth
football do to avail the situation? August, 2009 –
February, 2010
• The SIDA-Linnaeus Palme Scholarship, Academic
Visit to Malmo Sweden, Jan 2009 – June 2009.
• EdQUAL Prospective Doctoral Students’
Workshop on Qualitative Research Method held at
The University of Bouya, Limbe, Cameroon, 2nd –
12th December, 2008
• Norwegian State Educational Fund (NSEF), MSc
Studies, September 2002 - February 2004.
• Norwegian State Educational Fund (NSEF), BSc
Studies in Exercise and Health Sciences,
September 1999 – June 2002
• Norwegian State Education Fund (NSEF),
Norwegian Language Course for Foreign Students
at the University of Oslo Norway, August 1998 –
June 1999.
Referees
1. Dr Hamad Said Ndee
Head of Department
Department of Physical Education and Sports
Sciences
hndee@yahoo.com
2. Rune Hansen
Director of Youth Football Development
Staebeck Football Club
Oslo, Norway
E-Mail: rune.hansen@staebeckfk.no
3. Peter Tape Kristiansen,
Development Executive Director
Malmo Football Club
Malmo, Sweden
E-mail: peter.taper@mff.se
4 Prof. Susanna Hadenberg
Malmo University,
20506 Malmo, Sweden.
E-mail; sussana@mah.se
I Jonas B. Tiboroha, hereby certify that the above
given are my true personal information. Signed on
17th November, 2011.
Personal Particulars
• Date of Birth: 25th September 1969.
• Place of Birth: Kasulu.
• Marital status: Married
• Nationality: Tanzanian.
• Employer: University of Dar es salaam (UDSM)
Education Background
• PhD (Education), Malmo University, Sweden Sept
2010 – August 2013, Awarded at the University of
Dar es Salaam, November, 2013.
• MSc. Exercise and Sports Sciences (Training
Methods); Norwegian University of Sport and
Physical Education – Oslo, Norway, August 2002 –
Feb 2004
• BSc Exercise and Sport Sciences: Norwegian
University of Sport and Physical Education- Oslo,
Norway, August 1999 - June, 2002
• Norwegian Language Certificate for Foreigners:
University of Oslo, Norway; September 1998 – May
1999.
• BEd. Physical Education Sport and Culture;
University of Dar es Salaam- Tanzania – Sept 1994
– May 1998.
Professional Experiences and Community Services
• Technical Development Officer at the Tanzania
Football Federation, October 2014 – Now.
• Part time Lecturer Saint Augustine University
College, Tabora campus, 2013 – Now.
• Part time Lecturer University of Gaborone –
Botswana, 2013 –Now.
• U-15 Manager, Malmo Football Club, Malmo
Sweden; October 2010 - 2013
• Lecture: School of Education, Department of
Physical Education and Sport Science, University
of Dar es salaam – since Jan, 2008 – Now.
• Assistant Lecturer; The School of Education,
Department of Physical Education and Sport
Science, University of Dar es salaam – since Jan,
2005 – 2008
• Lecturer in Sports Biomechanics, Exercise
physiology, Theories and Methods of Sports
Training, Measurement and evaluation of Higher
Performance Athletes and Research Methodology
in Physical Education and Sports Science, 2005 -
Now.
• Reporteur TAFCA Conference on Key Aspects of
Football Development in Tanzania. Held at the
Waterfront Conference Center from 18th – 22th
September 2008. Report Submitted.
• Founder and Director of Talent Identification,
Mobilization and Development Organization
(TIMaD); A Community Based Organization for
Promoting Football Talents in Youth – since
December 2004 - Now.
• Chief Coach Wakati Ujao Football Academy; An
academy led by TIMaD for Promotion of Youth
football Talents, 2004 – Now.
Professional Courses, Seminar and Conferences
Attended.
• Conference of Sports Management held at UDSM
November, 2013
• European Conference of Sports Science held at
Malmo, Feb 2012.
• CAF License C in September 2011
• Conference on Coach Education on Analysis of
Global Issues and Challenges held in Amsterdam,
Netherland, 10th – 15th January 2011.
• FIFA Comm-Unity Seminar on Women Football
Development Held at PPF Tower Dar es Salaam,
Tanzania from 25th – 28th October 2011.
• Symposium on Women and Sport for
Empowerment held in Stockholm, Sweden, from
8th – 12th Feb 2011.
• MRC/UCT Conference on Sports Medicine Held at
the University of Cape Town, South Africa from
16th – 19th September, 2009.
• TAFCA Conference on Key Aspects of Football
Development in Tanzania. Held at the Waterfront
Conference Center in Dar es salaam, Tanzania,
from 18th – 22th September 2008, Report
Submitted.
• DFB Advanced Football Coaching Course for
Youth Football Development, held at the
Department of Physical Education and Sports
Science University of Dar es salaam, Tanzania
from 14th – 18th September, 2007.
• KNVB Course for Coaching Youth Football held at
the International School of Tanganyika Dar es
salaam, Tanzania in 2002.
• The FIFA Course on Coaching Youth Football,
Held at the National Stadium in 2007.
• The TFF/TAFCA Course on Youth Football and
Grassroots Development held at the TFF
Conference Hall, Dar es salaam, Tanzania, 2006.
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway November 2004
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2003
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2002
• Annual Symposium on Key Issues in the
Norwegian Football League held at the Norwegian
University of Physical Education and Sport
Sciences, Oslo, Norway, November 2001
• Intermediate Course in Coaching Football in Dar
es salaam, Tanzania in 2001.
• Preliminary Course in Coaching Football in Dar es
salaam, Tanzania in 1996.
Sports Activities and Youth Development
Programs Participated as a Coach
• The EDUSPORT Regional Football Tournaments
for Youth in Lusaka, Zambia 2010 and 2011 with
Wakati Ujao.
• The Rollingstone Youth Tournaments in Arusha,
2009, 2010 and 2011 with Wakati Ujao.
• Taysa Tournaments in Dar es salaam 2005, 2006,
2007 and 2008 With Wakati Ujao.
• Gorthia Cup in Gotenberg, 2000, 2001, 2002 and
2004 with Staeback youth team of Oslo.
• Norway Cup; 1999, 2000, 2001, 2002, 2003 and
2004 with Staeback youth team of Oslo.
• Tivoli Cup; 2000, 2001, 2002 and 2004 with
Staeback youth team of Oslo.
• Gorthia Cup 2006 with Wakati Ujao of Dar es
salaam, Tanzania
• Tivoli Cup 2006 with Wakati Ujao of Dar es
salaam, Tanzania.
• Norway Cup 2006 with Wakati Ujao Dar es
salaam, Tanzania.
Sports Related Publications, Reports and Papers
Presented
• Tiboroha, J (2014). The development dilemma
facing youth football coaches: A case of Managing
and engaging volunteer academy coaches.
Submitted at the International Journal of Sports
and Coaching.
• Tiboroha, J. (2014) Adoption of FIFA Youth
Football Coach Education: A rhetoric or reality. In
for publication, Scandinavian Journal of Sports
Studies
• Tiboroha, J. (2013). Transnational Coaching
Education Courses in Tanzania: An investigation
on the Adoption Process and Barriers for Coaches
to Participate. A Thesis Submitted in Fulfilment of
the Doctoral Degree in Sports Science at the
University of Dar es Salaam.
• Tiboroha, J. (2005). The Influence of Strength
and Endurance on Elite football players’ Jumping
and Sprinting Abilities: A comparative Study on
Tanzanian and Norwegian Elite football Players,
ActaScandinavia Journal, 5(2) 14-16.
• Tiboroha, J. Physiological Demands of Young
Amateur football Players: A study on Dar es
salaam UMISETA, Team-Manuscript, Idrotts forum
journal, October 2009.
• Tiboroha, J. The Implementation of Health School
Programs in Tanzania: A Critique to the
Implementation of the MDGs in Tanzanian
Education System. A paper presented at the
EdQUAL Doctoral Conference held at the University
Bouya, Cameroon, 8th – 15th December, 2010.
• The Physical Status of Tanzanian Olympic
Swimmers one Year after Beijing: What do we learn
on the demands and levels of competitiveness? A
paper presented at the Tanzanian Swimmers
Association Seminar, Held at the Millennium
Towers Hotel 12 – 14 December, 2009.
• Tiboroha, J. The Making of Professionals in the
Development of Quality Physical Education. Paper
presented in the Annual analysis of Physical
Education status in Sub Saharan African
Countries, Bulawayo, Zimbabwe, March, 2007
• Tiboroha, J. Challenges and Prospect of Fitness
and Health promotion in Tanzanian Primary
Schools, Papers in Education and Development
Journal, May 2006.
• Tiboroha, J. Mainstreaming Physical Education in
Primary and Secondary schools for Promotion of
Sports, Tanzania Institute of Education Quarterly,
May 2009.
• Tiboroha, J. Challenges in Organizing Physical
Activities to promote Health in People with special
needs – Paper presented to the Eastern African
conference for Fitness and Health to People with
Special Needs – October 2005
Academic Visits and Scholarships Received
• The World Bank’s “Quick Wins Project”,
Scholarship for PhD Study on The Transnational
Youth Football coaching courses in Tanzania: An
investigation on the adoption process and barriers
for coaches to participate, August 2010 – May
2013
• The SIDA-SAREC research fund on the desk-
review of the eliciting factors for poor youth socio-
economic development in Tandale: What can youth
football do to avail the situation? August, 2009 –
February, 2010
• The SIDA-Linnaeus Palme Scholarship, Academic
Visit to Malmo Sweden, Jan 2009 – June 2009.
• EdQUAL Prospective Doctoral Students’
Workshop on Qualitative Research Method held at
The University of Bouya, Limbe, Cameroon, 2nd –
12th December, 2008
• Norwegian State Educational Fund (NSEF), MSc
Studies, September 2002 - February 2004.
• Norwegian State Educational Fund (NSEF), BSc
Studies in Exercise and Health Sciences,
September 1999 – June 2002
• Norwegian State Education Fund (NSEF),
Norwegian Language Course for Foreign Students
at the University of Oslo Norway, August 1998 –
June 1999.
Referees
1. Dr Hamad Said Ndee
Head of Department
Department of Physical Education and Sports
Sciences
hndee@yahoo.com
2. Rune Hansen
Director of Youth Football Development
Staebeck Football Club
Oslo, Norway
E-Mail: rune.hansen@staebeckfk.no
3. Peter Tape Kristiansen,
Development Executive Director
Malmo Football Club
Malmo, Sweden
E-mail: peter.taper@mff.se
4 Prof. Susanna Hadenberg
Malmo University,
20506 Malmo, Sweden.
E-mail; sussana@mah.se
I Jonas B. Tiboroha, hereby certify that the above
given are my true personal information. Signed on
17th November, 2011.
Friday, December 19, 2014
HII NDIO HABARI MPYA KUTOKA YANGA
Mwenyekiti wa Yanga amefanya mabadiliko katika Safu za uongozi wa klabu hiyo huku akiweka vijana ili waweze kuitumikia klabu kwa muda mrefu. Mmoja wa vijana aliepata bahati hiyo ni Jerry Muro ambae amekuwa msemaji wa timu. Katibu Mkuu atakuwa Dr Jonas B Tiboroha.
Pamoja na hayo mwenyekiti Manji amelibadilisha benchi la ufundi kwa kumuondoa kocha Maximo na kumleta Kocha mpya mdachi Bw Hans van Pluijm akiwa anasaidiwa na mzawa Bw CharlesMkwasa.
Pamoja na hayo mwenyekiti Manji amelibadilisha benchi la ufundi kwa kumuondoa kocha Maximo na kumleta Kocha mpya mdachi Bw Hans van Pluijm akiwa anasaidiwa na mzawa Bw CharlesMkwasa.
SSERUNKUMA MAJANGA SIMBA: HUENDA ASICHEZE MECHI YOYOTE YA LIGI
Wakati Simba SC ikidai kumalizana na mshambuliaji Mganda Simon Sserunkuma na kupata Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC), klabu yake ya Express imesema imechezewa rafu na itavunja uhamisho huo sanjari na kuipeleka
Simba mahakamani kwa kughushi nyaraka.
Simba mahakamani kwa kughushi nyaraka.
Baada ya kufanya vizuri katika mechi yao ya kwanza ya majaribio Tanzania wakiisaidia Simba kuifunga Yanga mabao 2-0 Jumamosi, Sserunkuma na beki wa kati Juuko Murshid (Mganda pia),walisaini mikataba ya kuitumikia
klabu hiyo ya Msimbazi. Sserunkuma alisaini mkataba wa miaka miwili wakati Murshid alisaini miaka mitatu.
klabu hiyo ya Msimbazi. Sserunkuma alisaini mkataba wa miaka miwili wakati Murshid alisaini miaka mitatu.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Express SC Francis Ntalazzi amekaririwa na mtandao wa Kawowo Sports leo akilia kufanyiwa rafu na Simba katika kukamilisha usajili wa Sserunkuma uliofanyika Jumapili, siku moja baada ya mechi ya ‘ndondo’
ya ‘Nani Mtani Jembe 2′.
ya ‘Nani Mtani Jembe 2′.
Akielezea faulo iliyofanywa na Simba kufanikiwa usajili wa Sserunkuma, Ntalazzi anahoji juu namna saini yake ilivyoghushiwa kwenye mkataba wa mchezaji huyo.
“Binafsi, sikusaini nyaraka yoyote kuthibitisha uhamisho wa mchezaji husika (Sserunkuma) hivyo saini ilighushiwa,” kiongozi huyo wa juu
amesema huku akiweka wazi kusudio la kuipeleka Simba mahakamani kwa udanganyifu na amejipanga kuhakikisha anavunja uhamisho wa mchezaji huyo.
amesema huku akiweka wazi kusudio la kuipeleka Simba mahakamani kwa udanganyifu na amejipanga kuhakikisha anavunja uhamisho wa mchezaji huyo.
Ingawa uongozi wa Simba haukuwa tayari kuweka wazi fungu ambao nyota huyo amepewa kabla ya kukubali kumwaga wimo, ilielezwa jana kuwa ilimpatia dola la Marekani 40,000 (Sh. milioni 67).
Baada ya kusaini dili hiyo, (Sserunkuma) alirejea kwao Uganda na katika hali ya kushtusha Jumanne alikuwa miongoni mwa nyota wa Express, timu hiyo ilipochapwa mabao 2-1 dhidi ya Kikosi cha Bul F.C katika mechi ya Ligi Kuu ya
Uganda msimu huu.
Uganda msimu huu.
Kabla na baada ya mechi hiyo, Sserunkuma alionekana akigawa pesa kwa wachezaji wenzake na viongozi wa Express kama ishara ya kuagana.
Sserunkuma, ambaye aliwahi kukipiga na klabu za Kyegenra Happy Boys F.C, Victors, SC Villa, Vipers na Express alisema; “Nimefurahi kuhamia Simba na ninawashauri wachezaji wenzangu kujifua kwa bidii, kuwa na nidhamu, kila mmoja na muda wake maalum katika maisha.”
Sserunkuma, ambaye aliwahi kukipiga na klabu za Kyegenra Happy Boys F.C, Victors, SC Villa, Vipers na Express alisema; “Nimefurahi kuhamia Simba na ninawashauri wachezaji wenzangu kujifua kwa bidii, kuwa na nidhamu, kila mmoja na muda wake maalum katika maisha.”
SIMBA WANASEMAJE
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope, baada ya kutafutwa na mtandao huu kuzungumzia suala hilo, amesema Sserunkuma hana mkataba na klabu, bali wakala wake ndiye amekuwa akiingia mikataba na klabu zinazomsajili.
“Mkataba wa Sserunkuma na Express ulionesha kwamba hamzuii kujiunga na timu yoyote muda wowote. Sisi tumeingia mkataba na wakala wake kama ilivyokuwa kwa Express,” amesema
Hanspope. Ameongeza kuwa walipata ITC ya mchezaji huyo kutoka Shirikisho la Soka la Uganda (FUFA) siku mbili baada ya kumsainisha mkataba (Jumanne).
Hanspope. Ameongeza kuwa walipata ITC ya mchezaji huyo kutoka Shirikisho la Soka la Uganda (FUFA) siku mbili baada ya kumsainisha mkataba (Jumanne).
Kuhusu kucheza mechi ya Ligi Kuu ya Uganda akiwa na Kikosi cha Express ilhali amejiunga na Simba, Hanspope amedai hawana taarifa hizo huku akiahidi kufuatilia suala hilo.
Tuesday, December 16, 2014
KOCHA WA YANGA PRUIJM ATUA DAR
![]() |
| Van Der Pruijm alipotua usiku wa saa nane na nusu |
Kocha wa zamani wa Yanga mdachi Hans Van Der Pruijm amesema amerudi tena kwenye timu yake ya zamani kuendeleza pale alipoishia,
‘Falsafa yangu ipo pale pale ya kucheza soka la kushambulia, kwasababu naamini ili ushinde mchezo ni lazima ufunge mabao ya kutosha’.
‘Falsafa yangu ipo pale pale ya kucheza soka la kushambulia, kwasababu naamini ili ushinde mchezo ni lazima ufunge mabao ya kutosha’.
![]() |
| akiwasili jijini Dar |
Kocha huyo amesema bado hajasaini mkataba ila ana matumaini makubwa atamalizana na wakurugenzi wa klabu pale watakapokutana, Van Pruijm anakuja kuziba pengo la kocha aliye timuliwa Mbrazil Marcio Maximo .
Ahsante: Shaffih Dauda
Ahsante: Shaffih Dauda
RASMI: YANGA WAMTIMUA MAXIMO
Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo.
Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1 katika Mtani Jembe.
Tofauti na ilivyokuwa kwa Brandts ambaye aliifundisha Yanga kwa mwaka mmoja na kuisaidia kutwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2012/13, Maximo yeye amefukuzwa baada ya kuiongoza timu hiyo katika michezo tisa ndani ya miezi mitatu.
Yanga imepoteza michezo miwili kati ya saba ya ligi kuu msimu huu, Maximo ambaye alianza vizuri klabuni hapo kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii, alipoteza mchezo wa kwanza tu wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Yanga imeshinda michezo minne msimu huu, lakini hadi l,igi inasimama katika raundi ya saba hakuna mtu alikuwa na shaka kuhusu uwezo wa Maximo. Kocha huyo wa zamani wa timu ya Taifa
ya Tanzania, Taifa Stars amechokwa haraka sana na mashabiki, wapenzi, wanachama na viongozi wa klabu yake kutokana na kiwango kidogo cha uchezaji. Mifumo yake ya ufundishaji imekosa mvuto, lakini kitendo cha kufungwa kidhaifu na Simba kimeshindwa kuvumilika.
ya Tanzania, Taifa Stars amechokwa haraka sana na mashabiki, wapenzi, wanachama na viongozi wa klabu yake kutokana na kiwango kidogo cha uchezaji. Mifumo yake ya ufundishaji imekosa mvuto, lakini kitendo cha kufungwa kidhaifu na Simba kimeshindwa kuvumilika.
COUTINHO, JAJA, EMERSON WAMPONZA?
Ndiyo sababu kubwa, ukitoa mbinu zake, Maximo alikuwa akiwakumbatia zaidi wachezaji raia wa Brazil, Andrey Coutinho, Geilson Santos ( ambaye aliomba mwenyewe kuachwa baada ya michezo saba), kwa Emerson Oliveira siwezi kuzungumzia kwa sababu mchezaji huyo wa nafasi ya kiungo alicheza katika kiwango cha kawaida wakati alipoichezea Yanga kwa mara ya kwanza.
Jaja alifunga mara mbili dhidi ya Azam, ila alikosa makali katika ligi kuu kiasi cha kufunga bao moja tu katika michezo saba ya ligi kuu. Alishindwa kumudu presha ya mashabiki wa Yanga ambao hawakuwa wakipendezwa na kiwango chake huku uchezaji wake wa taratibu ukiwaboa wengi.
Maximo aliwanyima nafasi washambuaji kama Said Bahanunzi, Jerry Tegete, Saimon Msuva, Hussein Javu na Hamis Kizza hata pale wachezaji hao wa Kibrazil waliposhindwa kufanya vizuri.
Kuwang’ang’ania wachezaji hao na kuwanyima nafasi wale wenye uwezo kumewakera . Brandts aliondolewa baada ya kufungwa 3-1 licha ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili zaidi, yeye aliondolewa kwa kuwa alipingana na uamuzi wa viongozi kuwasajili baadhi ya wachezaji ambao hakuwataka wakati ule.
Brandts ndiye mwalimu aliyeifanya Yanga kucheza mchezo mzuri wa kupasiana na ndiye aliyeimarisha kiwango cha wachezaji kama, Saimon Msuva, Frank Domayo ( yuko Azam FC kwa sasa), Juma Abdul, Oscar Joshua na wengineo lakini kwa Maximo imekuwa ni tofauti,
wachezaji wengi wameshuka viwango na
ameshindwa kuwaimarisha wachezaji ambao ‘ wanasua-sua’.
wachezaji wengi wameshuka viwango na
ameshindwa kuwaimarisha wachezaji ambao ‘ wanasua-sua’.
Yanga wamefanya uamuzi sahihi kwa kumuondoa Maximo na Coutinho.
Ahsante: Shaffih Dauda
Monday, December 15, 2014
BREAKING NEWS: HAMIS TAMBWE ASAJILIWA NA YANGA
MWANAMUZIKI MKONGWE WA BENDI YA TABORA JAZZ AFARIKI DUNIA

Shem Karenga wapili kutoka kushoto waliosimama.
Shem Ibrahim Karenga, mkongwe wa muziki wa dansi Alizaliwa mwaka
1950, Bangwe, Kigoma na kupata elimu ya msingi katika shule ya
kimishionari ya Kihezya kuanzia mwaka 1957 hadi mwaka 1964.
“Kiukweli, nilianza kujifunza muziki tangu nikiwa shuleni kwa sababu mimi nimesoma shule ya Wamishionari, sasa kule tulikuwa tukifundishwa fani hiyo,” ndivyo anavyoanza kusema Karenga.
Karenga anasema kuwa, baada ya kumaliza shule huku shetani muziki akiwa kampanda kichwani, mwaka 1964 alijiunga na bendi ya Lake Tanganyika Jazz ambayo maskani yake yalikuwa mjini Kigoma.
“Kiukweli, nilianza kujifunza muziki tangu nikiwa shuleni kwa sababu mimi nimesoma shule ya Wamishionari, sasa kule tulikuwa tukifundishwa fani hiyo,” ndivyo anavyoanza kusema Karenga.
Karenga anasema kuwa, baada ya kumaliza shule huku shetani muziki akiwa kampanda kichwani, mwaka 1964 alijiunga na bendi ya Lake Tanganyika Jazz ambayo maskani yake yalikuwa mjini Kigoma.
Anakumbuka
kuwa, aliingia Lake Tanganyika akiwa mwimbaji na mcharazaji wa gitaa la
besi, ambako pia alikuwa na ujuzi wa kutengeneza gitaa kwa kutumia
vifaa vya kuokoteza. Akiwa na Lake Tanganyika Jazz, aliyodumu nayo kwa
miaka minane, alianza pia kujifunza vyombo vingine vya muziki kama vile;
Drums, Kinanda, gitaa la Rithym na la Solo’.
“Mwaka
1972, aliitwa kwenye bendi ya Tabora Jazz kama mwanamuziki mwenye
kipaji cha utunzi, mwimbaji na mpigaji wa gitaa la Solo, alijiunga na
Tabora Jazz akiwa na vibao vyake Dada Asha na Lemmy alivyovitungia
Lake Tanganyika, ambavyo vilimpa umaarufu mkubwa alipo vipakua hapo
Tabora Jazz'.
Anasema, Tabora jazz walimchukua akiwa
Mtaalam wa muziki, ambako hata hivyo alipokuwa na bendi hiyo alikuwa
akijiendeleza zaidi kwa masomo ya jioni kwenye shule ya Sekondari ya
Milambo, Tabora pamoja na kusoma vitabu mbalimbali vya muziki.
Katika bendi ya Tabora Jazz ambako alikuwa pia kama Kiongozi wa bendi, Karenga alikutana
na wakali wengine wa muziki kama vile Kassim Kaluona na Athuman Tembo
ambao kwa sasa ni marehemu pamoja na Salum Muzila.
Kutokana na sababu binafsi ambazo hakutaka kuziweka wazi, mwaka 1983 alijiengua kutoka Tabora Jazz na kusimama kabisa kujihusisha na muziki, ambako kilichofuatia ilikuwa ni kifo cha bendi hiyo.
“Mwaka 1990 aliondoka Tabora na kutua jijini Dar es Salaam alipokutana na Baraka Msilwa katika mwaka huohuo na kuniomba nijiunge na MK Beats ili kuiongezea nguvu,” anasema Kalenga.
Ndani ya MK Beats iliyokuwa ndugu na bendi nyingine iliyotamba vilivyo enzi hizo, MK Group, Karenga alikutana na wakali kama Malik Star, Sisko Lulanga, Fungo Shomari na Bwami Fanfan.
Baada ya kujiunga na MK Beats iliyokuwa ikitumia mtindo wa ‘Tukunyema’, Karenga aliisuka vema na kuinyanyua vilivyo hasa kwa vibao moto wa kuotea mbali vilivyozitetemesha vikali bendi nyingine
zote za wakati huo.
Mwaka 1995, MK Beats ilisambaratika, ambako mwaka uliofuata, yaani 1996 alianzisha bendi ya Tabora Jazz Star kwa kushirikiana na mtu aliyemtaja kwa jina la Ibrahim Didi.
“Bendi ya Tabora Jazz Star ndio niliyo nayo hadi sasa nikiwa Mkurugenzi Msaidizi, ambako nafasi ya Mkurugenzi Mkuu imeshikiliwa na Didi mwenyewe,” alisema Karenga.
Akizungumzia anavyouona ushindani wa kimuziki akiwa na bendi yake hiyo ya Tabora Jazz Star, Karenga alisema kwa upande wake mambo si mazito sana kwa kuwa ana mashabiki wake wa tangu huko nyuma.
Kwa upande wa mafanikio, Karenga anasema ukiondoa nyumba nzuri aliyoiporomosha nyumbani kwao Kigoma, anashukuru kuona ana marafiki wengi na anaishi atakavyo akiwa anamudu vema kuitunza familia yake.
Ushauri alioutoa kwa wanamuziki na mashabiki wa dansi ni kuwa, wasibabaike kwani muziki huo ni wa kudumu, ambako hata hivyo alisikitika kuona kuna uhaba mkubwa wa vijana warithi wa miondoko hiyo
kwa sasa.
“Unajua, sisi tulirithi dansi kutoka kwa baba, kaka na wakubwa zetu wengine, lakini ni masikitiko makubwa kuona vijana wetu wa sasa wanarithi muziki hewa wa Bongo Fleva,” alisema.
Alisema, sababu ya kuuita muziki wa Bongo Fleva kuwa hewa ni namna wasanii wake wanavyopora midundo na ala kutoka nje huku wakijidai kuwa ni mtindo mpya wa muziki hapa nchini.
Mkongwe huyo aliyebainisha siri yake ya kukubalika katika muziki kuwa ni bidii na juhudi za dhati kwenye fani hiyo, alisema anavutiwa na wasanii wote wanaofanya vema katika sanaa.
Kama ilivyo kwa wakongwe wengine wengi wa muziki, Karenga alifaulu kuwarithisha muziki watoto wake wawili wa kiume ambao ni Ramadhan na Mussa waliowahi kuwika vilivyo katika bendi ya TOT Plus.
“Mussa ni mwimbaji na rapa mahiri, ambako kaka yake, Ramadhan ni mcharazaji wa gitaa kiongozi, Solo,” anasema Karenga, baba wa watoto sita.
Watoto wengine wa Karenga ambao hawakubahatika kurithi kazi yake ya muziki ni Tausi, Biata pamoja na Rehana.
Kutokana na sababu binafsi ambazo hakutaka kuziweka wazi, mwaka 1983 alijiengua kutoka Tabora Jazz na kusimama kabisa kujihusisha na muziki, ambako kilichofuatia ilikuwa ni kifo cha bendi hiyo.
“Mwaka 1990 aliondoka Tabora na kutua jijini Dar es Salaam alipokutana na Baraka Msilwa katika mwaka huohuo na kuniomba nijiunge na MK Beats ili kuiongezea nguvu,” anasema Kalenga.
Ndani ya MK Beats iliyokuwa ndugu na bendi nyingine iliyotamba vilivyo enzi hizo, MK Group, Karenga alikutana na wakali kama Malik Star, Sisko Lulanga, Fungo Shomari na Bwami Fanfan.
Baada ya kujiunga na MK Beats iliyokuwa ikitumia mtindo wa ‘Tukunyema’, Karenga aliisuka vema na kuinyanyua vilivyo hasa kwa vibao moto wa kuotea mbali vilivyozitetemesha vikali bendi nyingine
zote za wakati huo.
Mwaka 1995, MK Beats ilisambaratika, ambako mwaka uliofuata, yaani 1996 alianzisha bendi ya Tabora Jazz Star kwa kushirikiana na mtu aliyemtaja kwa jina la Ibrahim Didi.
“Bendi ya Tabora Jazz Star ndio niliyo nayo hadi sasa nikiwa Mkurugenzi Msaidizi, ambako nafasi ya Mkurugenzi Mkuu imeshikiliwa na Didi mwenyewe,” alisema Karenga.
Akizungumzia anavyouona ushindani wa kimuziki akiwa na bendi yake hiyo ya Tabora Jazz Star, Karenga alisema kwa upande wake mambo si mazito sana kwa kuwa ana mashabiki wake wa tangu huko nyuma.
Kwa upande wa mafanikio, Karenga anasema ukiondoa nyumba nzuri aliyoiporomosha nyumbani kwao Kigoma, anashukuru kuona ana marafiki wengi na anaishi atakavyo akiwa anamudu vema kuitunza familia yake.
Ushauri alioutoa kwa wanamuziki na mashabiki wa dansi ni kuwa, wasibabaike kwani muziki huo ni wa kudumu, ambako hata hivyo alisikitika kuona kuna uhaba mkubwa wa vijana warithi wa miondoko hiyo
kwa sasa.
“Unajua, sisi tulirithi dansi kutoka kwa baba, kaka na wakubwa zetu wengine, lakini ni masikitiko makubwa kuona vijana wetu wa sasa wanarithi muziki hewa wa Bongo Fleva,” alisema.
Alisema, sababu ya kuuita muziki wa Bongo Fleva kuwa hewa ni namna wasanii wake wanavyopora midundo na ala kutoka nje huku wakijidai kuwa ni mtindo mpya wa muziki hapa nchini.
Mkongwe huyo aliyebainisha siri yake ya kukubalika katika muziki kuwa ni bidii na juhudi za dhati kwenye fani hiyo, alisema anavutiwa na wasanii wote wanaofanya vema katika sanaa.
Kama ilivyo kwa wakongwe wengine wengi wa muziki, Karenga alifaulu kuwarithisha muziki watoto wake wawili wa kiume ambao ni Ramadhan na Mussa waliowahi kuwika vilivyo katika bendi ya TOT Plus.
“Mussa ni mwimbaji na rapa mahiri, ambako kaka yake, Ramadhan ni mcharazaji wa gitaa kiongozi, Solo,” anasema Karenga, baba wa watoto sita.
Watoto wengine wa Karenga ambao hawakubahatika kurithi kazi yake ya muziki ni Tausi, Biata pamoja na Rehana.
BREAKING NEWS: PRUIJM KUREJEA KUINOA YANGA
kocha Mdachi Hans Van Der Pruijm huenda akarejea nchini kuifundisha tena YANGA,kutoka chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo kinasema kocha huyo wa zamani wa klabu hiyo huenda akawasili usiku wa leo kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya awali.
Mwishoni mwa juma hili kwenye mchezo wa NANI MTANI JEMBE Yanga ilifungwa na mtani wake wa jadi Simba mabao 2-0 huku timu hiyo inayonolewa na Mbrazil Marcio Maximo ikionyesha kiwango cha kawaida kwenye mchezo huo ikilinganishwa na kipindi cha mdachi huyo.
AHSANTE: SHAFFIH DAUDA
Subscribe to:
Posts (Atom)





