Tuesday, September 2, 2014
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOSAJILIWA ULAYA
PREMIER LEAGUE
Falcao (Monaco to Manchester United) Loan - reported fee £6m
Danny Welbeck (Manchester United to Arsena) £16m
Daley Blind (Ajax to Manchester United) £14m
Abel Hernandez (Palermo to Hull City) Undisclosed, reported to be £9.5m
Hatem Ben Arfa (Newcastle to Hull City) Loan
Ricardo Alvarez (Inter Milan to Sunderland) Loan
Sebastian Coates (Liverpool to Sunderland) Loan
Nathaniel Chalobah (Chelsea to Burnley) loan
George Boyd (Hull to Burnley) £3million
Modibo Diakite (released by Sunderland) Free
Modou Barrow (Ostersunds FK to Swansea) Undisclosed
Benjamin Stambouli (Montpellier to Tottenham) Undisclosed
Sebastian Coates (Liverpool to Sunderland) Loan
Mohamed Diame (West Ham to Hull) Undisclosed
Zeki Fryers (Tottenham to Crystal Palace) £3m
Sandro (Tottenham to QPR) £10m
Gaston Ramirez (Southampton to Hull) Loan
Oussama Assaidi (Liverpool to Stoke) Loan
James McArthur (Wigan to Crystal Palace) £7m
Niko Kranjcar (Dynamo Kiev to QPR) Loan
Kevin Doyle (Wolves to QPR) Loan
Morgan Amalfitano (Marseille to West Ham) Undisclosed
Toby Alderweireld (Atletico Madrid to Southampton) Loan
Sadio Mane (Red Bull Salzburg to Southampton) £11.8m
Tom Lawrence (Manchester United to Leicester) £1m
Nick Powell (Manchester United to Leicester) Loan
Michael Keane (Manchester United to Burnley) Loan
LA LIGA
Javier Hernandez (Man Utd - Real Madrid) Loan
Alessio Cerci (Torino to Atletico Madrid) undisclosed
Yassine Bounou (Atletico Madrid to Real Zaragoza) loan
Jose Canas (Swansea to Espanyol) Free
Alvaro Negredo (Manchester City to Valencia) Initial loan, obligation
to buy £23.7m
to buy £23.7m
SERIE A
Marco van Ginkel (Chelsea to AC Milan) Loan
Saphir Taider (Southampton to Inter) Loan return
Javier Saviola (Olympiacos to Verona) Undisclosed
Giacomo Bonaventura (Atalanta to AC Milan) €7m
Joao Pedro (Estoril to Cagliari) Exchange for Matias Cabrera
Micah Richards (Manchester City to Fiorentina) Loan
Mapou Yanga-Mbiwa (Newcastle to Roma) Loan
Djamel Mesbah (Parma to Sampdoria) Undisclosed
Juan Antonio (Sampdoria to Parma - loan to Feralpi Salò) Undisclosed
Marco Donadel (Napoli to free agent)
BUNDESLIGA
Julian Green (Bayern Munich to Hamburg) Loan
Lewis Holtby (Tottenham to Hamburg) Loan
LIGUE 1
Valentin Roberge (Sunderland to Reims) Loan
Benjamin Stambouli (Montpellier to Tottenham) Undisclosed
Carlos Eduardo (Porto to Nice) Loan
Doria (Marseille to Brazil) Undisclosed
CHAMPIONSHIP
Ignasi Miquel (Arsenal to Norwich) £1m
Shane Duffy (Everton to Blackburn) Undisclosed
Jelle Vossen (RC Genk to Middlesbrough) Loan
Adam Forshaw (Brentford to Wigan) Undisclosed
Andy Delort (Tours to Wigan) Undisclosed
Brian Montenegro (Nacional Asuncion to Leeds) Loan
Royston Drenthe (Reading to Sheffield Wednesday) Loan
Bruno Ecuele Manga (FC Lorient to Cardiff City) Reported fee £5m
William Kvist (Stuttgart to Wigan) Undisclosed
Danny Gabbidon (Unattached to Cardiff City) Free
Souleymane Doukara (Catania to Leeds) Undisclosed
Jamal Blackman (Chelsea to Middlesbrough) loan
Emyr Huws (Manchester City to Wigan) Undisclosed
Matt Smith (Leeds to Fulham) Undisclosed
Jos Hooiveld (Southampton to Norwich) Loan
Glenn Murray (Crystal Palace to Reading) Loan
Frank Nouble (Ipswich to Coventry) Loan
Louis Thompson (Swindon to Norwich) Undisclosed, loaned back
Ryan Tunnicliffe (Fulham to Blackburn) Loan
Matt Smith (Leeds to Fulham) Undisclosed
Jason Steele (Middlesborough to Blackburn) Loan
Mark Hudson (Cardiff to Huddersfield) Undisclosed
SELECTED OTHERS
Emmanuel Frimpong (Unattached to FC Ufa) Free
Karim El Ahmadi (Aston Villa to Feyenoord) Undisclosed
Jonathan Obika (Tottenham to Swindon) Undisclosed
Tomislav Gomelt (Tottenham to Bari) Loan
Souleymane Coulibaly (Tottenham to Bari) Undisclosed
Matej Delac (Chelsea to Arles) Loan
Holmbert Fridjonsson (Celtic to Brondy) Loan
Dylan McGeouch (Celtic to Hibernian) Loan
Ryo Miyaichi (Arsenal to FC Twente) Loan
Raul Rusescu (Sevilla to Steaua Bucharest) Loan
John Arne Riise (APOEL) Free
Blerim Dzemaili (Napoli to Galatasaray) Undisclosed
Goran Pandev (Napoli to Galatasaray) Undisclosed
Stefan Scepovic (Sporting Gijon to Celtic) £2.3m
Jose Campana (Sampdoria to FC Porto) Loan
Alex Kacaniklic (Fulham to Copenhagen) Loan
Monday, September 1, 2014
MAKOMANDOO WA NEPAL WALINDA NYUMBA YA MNYARWANDA KARIBU NA AIRPORT
Komandoo Sidhee Bahadurkatuwal (kulia) kutoka Nepal akionesha nyumba ya Mrwanda aliyokuwa akiilinda kupitia kampuni ya Ulinzi ya Advanced Security karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam,
akiwa na makomandoo wenzake kutoka Nepal,
Maofisa wa Uhamiaji wakimhoji mama wa kitanzania
aliyeolewa na mnyarwanda ambao nyumba yao ilikuwa
ikilindwa na Komandoo kutoka Nepal
Baadhi ya makomandoo wa kijeshi kutoka Nepal wakiwa
wamevalia sare ya Kampuni ya Ulinzi ya Advanced katika
nyumba hiyo.
Sunday, August 31, 2014
MWANAZUONI MKUBWA ALHABIB UMAR IBN HAFIDH AWASILI KENYA
Mwanazuoni Mkubwa duniani Alhabib Umar bin Salim bin Hafidh jana amewasili jijini Nairobi Kenya katika ziara ya mwaliko wa Sheikh Al-Amoudy ambapo atakuwa nchini humo kwa muda wa wiki moja.
Katika ziara hiyo Alhabib Umar atafungua Markaz ya Dar Al-Mudathir iliyoko Malindi ambapo ni tawi la chuo cha Dar al Mustafa kilichoko Yemen. Mbali na Nairobi na Malindi sehemu zingine atakazotembelea ni Eldoret,Mombasa na atafungua misikiti kadhaa.
Katika ziara hiyo Alhabib Umar atafungua Markaz ya Dar Al-Mudathir iliyoko Malindi ambapo ni tawi la chuo cha Dar al Mustafa kilichoko Yemen. Mbali na Nairobi na Malindi sehemu zingine atakazotembelea ni Eldoret,Mombasa na atafungua misikiti kadhaa.
Angalia ziara yake kamili Alhabib Umar hapo chini.
-SAT. 30th AUG. -NAIROBI
Arrival: 7PM
-SUN.31st AUG. -NAIROBI/MALINDI
Muslim Children's Home & Imtiaz Sunni MOsque in Nairobi:AM
Flight to Malindi:PM
-MON. 1st SEP. -MALINDI/MAMRUI/MALINDI
Ziyara of Ash-Sharif Sa'eed al-Beidh, Mamrui:AM
Opening of Dar al-Mudathir, branch of Dar al-Mustafa, Malindi:PM
Opening forum with scholars and public, Malindi: 4:15PM
-TUESDAY 2nd SEPT. - MALINDI/MOMBASA
Opening of Masjid Abu Bakr Siddiq at Kwachocha, Malindi: 11AM
Programme at Masjid Konzi, Mombasa: 6:45PM
-WED. 3rd SEPT. - MOMBASA
Opening of Masjid Nur, Kikambala: 11AM
Hawl of Imam al Haddad RA at Memon Villa Hall: 6:45PM
-THUR. 4th SEPT. -MACKINNON RD/MAKINDU
-FRI. 5th SEPT. -MAKINDU/ELDORET
Jumuah at Makindu: 12:30PM
Flight to Eldoret from Nairobi: PM
-SAT. 6th SEPT. -ELDORET/NAIROBI
Opening of Majma'ul Khayrat Insitute, Eldoret: AM
YANGA YATANGAZA KAMATI ZAKE
Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wajumbe Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo), Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji, wanapenda
kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wanaYANGA,
wameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji ya YANGA zifuatazo:
Wajumbe Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo), Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji, wanapenda
kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wanaYANGA,
wameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji ya YANGA zifuatazo:
1) KAMATI YA UFUNDI
Wajumbe:
1) Duduma, Nassoro
2) Lamlembe, Roger
3) Malulu, Pascal
4) Msolla, Peter
5) Zangira, Steve
1) Duduma, Nassoro
2) Lamlembe, Roger
3) Malulu, Pascal
4) Msolla, Peter
5) Zangira, Steve
2) KAMATI YA SOKA YA VIJANA NA WANAWAKE
Wajumbe:
1) Katwila, Shaban
2) Kabisa, Jessica (Advocate)
3) Mazwile, Isack
4) Mwita, George
5) Tembele, Ally Mayay
Wajumbe:
1) Katwila, Shaban
2) Kabisa, Jessica (Advocate)
3) Mazwile, Isack
4) Mwita, George
5) Tembele, Ally Mayay
3) KAMATI YA MASHINDANO
Wajumbe:
1) Cheyo, Magembe
2) Didi, Ibrahim
3) Hussein, Ndama Risasi
4) Katabalo, Moses
5) Katunzi, Mudhamiri
6) Kihanga, Pascal
7) Kingo, Ray Shauri
8) Kleb, Abdallah Bin
9) Luhago, David
10) Lukumay, Samwel
11) Macha, Innocent
12) Maige, Jackson
13) Mahende, Mugaya
14) Makay, Sule
15) Malebo, Michael
16) Malume, Paul
17) Matata
18) Mbise, Anandumi Timothy
19) Mlangwa, David
20) Mogha, John
21) Mutaboyerwa, Joseph John
22) Ntimizi, Said
23) Nyambaya, Lameck
24) Nyika, Hussein
25) Nyumbamkaly,
26) Ramadhan, Fulgence
27) Rashid, Ahmed
28) Suleman, Majid
29) Tenga, Frank
30) Tindwa, Beda
31) Zakaria, Dr.
Wajumbe:
1) Cheyo, Magembe
2) Didi, Ibrahim
3) Hussein, Ndama Risasi
4) Katabalo, Moses
5) Katunzi, Mudhamiri
6) Kihanga, Pascal
7) Kingo, Ray Shauri
8) Kleb, Abdallah Bin
9) Luhago, David
10) Lukumay, Samwel
11) Macha, Innocent
12) Maige, Jackson
13) Mahende, Mugaya
14) Makay, Sule
15) Malebo, Michael
16) Malume, Paul
17) Matata
18) Mbise, Anandumi Timothy
19) Mlangwa, David
20) Mogha, John
21) Mutaboyerwa, Joseph John
22) Ntimizi, Said
23) Nyambaya, Lameck
24) Nyika, Hussein
25) Nyumbamkaly,
26) Ramadhan, Fulgence
27) Rashid, Ahmed
28) Suleman, Majid
29) Tenga, Frank
30) Tindwa, Beda
31) Zakaria, Dr.
Ifahamike kwamba, kutakuwa na nyongeza ya uteuzi wa Wajumbe wengine wa Kamatiza YANGA zilizotajwa hapo juu.
Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji Wajumbe Wenza wa
Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo) watakuwa
Wenyekiti Wenza wa Kamati zilizotajwa hapo juu.
Kamati ya Utendaji ya YANGA, ina karibisha Wajumbe waliotajwa
katika Kamati zilizotajwa hapo juu kwa dhamira njema kuwa
watasaidia kujenga YANGA bora, na wanaomba ushirikiano kutoka
kwa wanaYanga wote ili Wajumbe walioteuliwa waweze ketenda
kazi zao vyema kwa manufaa ya YANGA.
(YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
(BENO NJOVU)
KATIBU MKUU WA YANGA
Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji Wajumbe Wenza wa
Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo) watakuwa
Wenyekiti Wenza wa Kamati zilizotajwa hapo juu.
Kamati ya Utendaji ya YANGA, ina karibisha Wajumbe waliotajwa
katika Kamati zilizotajwa hapo juu kwa dhamira njema kuwa
watasaidia kujenga YANGA bora, na wanaomba ushirikiano kutoka
kwa wanaYanga wote ili Wajumbe walioteuliwa waweze ketenda
kazi zao vyema kwa manufaa ya YANGA.
(YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
(BENO NJOVU)
KATIBU MKUU WA YANGA
SIMBA YAVUNA MAGOLI KWA KMKM
![]() |
| Beki wa Simba "baba ubaya" akipambana na mchezaji wa KMKM |
SIMBA SC imewafunga mabingwa wa Zanzibar, KMKM mabao 5 - 0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara usiku huu uwanja wa Amaan,Zanzibar.
KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2 - 0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Hamis Tambwe mawili, Amir Kiembe na Shabaan Kisiga 'malone' moja kila mmoja.
Amri Kiemba ndiye aliyefungua karamu ya mabao ya Simba SC hii leo, dakika ya tatu ya mchezo baada ya kupewa pasi nzuri na kiungo Mrundi, Pierre Kwizera na kuwatoka wachezaji wawili wa KMKM kabla ya kufumua shuti kali lililogonga mwamba wa ndani wa lango.
Amisi Tambwe akafuatia dakika ya 14 baada ya kuuwahi mpira uliotemwa na kipa Salim Amour kufuatia yeye mwenyewe kupiga mkwaju wa penati, baada ya Kiungo Haroun Chanongo kuangushwa kwenye boksi.
Tambwe tena akafunga bao la tatu dakika ya 23 akimalizia krosi maridadi ya Ramadhan Singano 'Messi' kabla ya kisiga kufunga la nne dakika ya 37, kufuatia kazi nzuri ya Kiemba.
Kipindi ha pili, kocha Mzambia, Patrick Phiri alibadilisha kikosi kizima akimuacha Nahodha Joseph Owino na dakika ya 60 Elias Maguri akahitimisha karamu ya mabao kwa bao safi la tano.
Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi aliyetangaza juzi kurejea Simba SC kutoka kwa mahasimu wao Yanga SC usiku wa jana alikuwepo, lakini alibaki benchi muda wote wa mchezo.
Viongozi wa Simba SC wakiongozwa Makamu wa
Rais, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ na Mwenyekiti
Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe, Kassim
Dewji, Musley Ruwey, Mohammed Nassor ‘Steven
Seagal’, Crescentius Magori, Said Tuliy na
wengineo walikuwepo kushuhudia mchezo huo.
Kikosi cha Simba SC kilikuwa:
Ivo Mapunda/
Hussein Sharrif ‘Cassilas’ dk46/Peter Manyika
dk84, Miraj Adam/Abdi Banda dk46/Nassor
Mssoud ‘Cholo’dk84, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’/
William Lucian ‘Gallas’ dk46/Mohammed Hussein
‘Tshabalala’ dk84, Joram Mgeveke/Hassan Isihaka
dk46, Joseph Owino, Pierre Kwizera/Abdallah
Seseme dk46, Haroun Chanongo/Twaha Ibrahim
‘Messi’ dk46, Amri Kiemba/Ibrahim Hajibu dk46,
Amisi Tambwe/Elias Maguri dk46, Shaaban Kisiga
‘Malone’/Awadh Juma dk46 na Ramadhani Singano
‘Messi’/Uhuru Suleiman dk46.
KMKM; Salim Amour, Pandu Hajji, Faki Hamad/
Makame Hajji dk30, Juma Rashid/Nassor Ali dk30,
Halfan Khamisi/Mudrik Muhibu dk30, Moka
Shaaban, Ame Khamis, Abdi Kassim ‘Babbi’, Haji
Simba/Kassim Nemshi dk30, Maulid Ibrahim na
Khamis Ali.
KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2 - 0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Hamis Tambwe mawili, Amir Kiembe na Shabaan Kisiga 'malone' moja kila mmoja.
![]() |
| Viongozi wa Simba wakiongozwa na Hans pope |
Amisi Tambwe akafuatia dakika ya 14 baada ya kuuwahi mpira uliotemwa na kipa Salim Amour kufuatia yeye mwenyewe kupiga mkwaju wa penati, baada ya Kiungo Haroun Chanongo kuangushwa kwenye boksi.
Tambwe tena akafunga bao la tatu dakika ya 23 akimalizia krosi maridadi ya Ramadhan Singano 'Messi' kabla ya kisiga kufunga la nne dakika ya 37, kufuatia kazi nzuri ya Kiemba.
Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi aliyetangaza juzi kurejea Simba SC kutoka kwa mahasimu wao Yanga SC usiku wa jana alikuwepo, lakini alibaki benchi muda wote wa mchezo.
![]() |
| Hamis Tambwe na Singano wakishangilia Goli |
Rais, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ na Mwenyekiti
Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe, Kassim
Dewji, Musley Ruwey, Mohammed Nassor ‘Steven
Seagal’, Crescentius Magori, Said Tuliy na
wengineo walikuwepo kushuhudia mchezo huo.
Kikosi cha Simba SC kilikuwa:
Ivo Mapunda/
Hussein Sharrif ‘Cassilas’ dk46/Peter Manyika
dk84, Miraj Adam/Abdi Banda dk46/Nassor
Mssoud ‘Cholo’dk84, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’/
William Lucian ‘Gallas’ dk46/Mohammed Hussein
‘Tshabalala’ dk84, Joram Mgeveke/Hassan Isihaka
dk46, Joseph Owino, Pierre Kwizera/Abdallah
Seseme dk46, Haroun Chanongo/Twaha Ibrahim
‘Messi’ dk46, Amri Kiemba/Ibrahim Hajibu dk46,
Amisi Tambwe/Elias Maguri dk46, Shaaban Kisiga
‘Malone’/Awadh Juma dk46 na Ramadhani Singano
‘Messi’/Uhuru Suleiman dk46.
KMKM; Salim Amour, Pandu Hajji, Faki Hamad/
Makame Hajji dk30, Juma Rashid/Nassor Ali dk30,
Halfan Khamisi/Mudrik Muhibu dk30, Moka
Shaaban, Ame Khamis, Abdi Kassim ‘Babbi’, Haji
Simba/Kassim Nemshi dk30, Maulid Ibrahim na
Khamis Ali.
WAZIRI MKUU AKIMBILIA AFRIKA YA KUSINI
![]() |
| Jeshi la Lesotho |
Sawa Waziri mkuu nchini Lesotho Tom Thabane ameiambia BBC kwamba amelitoroka taifa hilo baada ya kupata vitisho vya maisha yake.
Akizungumza kutoka nchini Afrika kusini,Bwana Thabane amesema kuwa vitendo vya jeshi nchini humo vya kusitisha huduma za serikali na kusababisha mapinduzi.
Awali Ripoti kutoka mji mkuu wa maseru zilisema kuwa jeshi lilizingira makao makuu ya polisi na kuzuia matangazo ya radio pamoja na mtandao wa simu katika mji mkuu wa Maseru.
Uchaguzi uliozongwa na utata nchini humo miaka miwili iliopita ulisababisha kuundwa kwa serikali ya muungano isio dhabiti.
Licha ya mazungumzo ya kuleta amani mnamo mwezi Juni ,hali ya wasiwasi ilitanda huku majirani wa taifa hiilo wakionya dhidi ya
mbinu yoyote isio ya kikatiba.
Taifa hilo limezungukwa na Afrika kusini na hutegemea sana jirani yake kwa maslahi pamoja na nafasi za kazi.
Chanzo: BBC SWAHILI
Saturday, August 30, 2014
HII NDIO TIMU ANAYOENDA RADAMEL FALCAO
Mchezaji wa Monaco Radamel Falcao ameuthibitishia ulimwengu kuwa atajiunga na Madrid. Mchezaji huyo alituma ujumbe wa furaha katika akaunti yake ya tweeter na baadae kuufuta ujumbe huo ila tayari watu tulikuwa tumesha upiga picha.
Wadadavuaji wengine wanasema huenda akaunti yake itakuwa imetekwa na maharamia wa mtandao maarufu kwa jina la kiingereza la "hackers "
Chini ni picha ya ujumbe huo.
Wadadavuaji wengine wanasema huenda akaunti yake itakuwa imetekwa na maharamia wa mtandao maarufu kwa jina la kiingereza la "hackers "
Chini ni picha ya ujumbe huo.
RAIS KIKWETE ATEMBELEA SOKO LA MAZAO KIBAIGWA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea soko la nafaka la kimataifa la
Kibaigwa mkoani Dodoma katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo
Agosti 28, 2014 , ambapo alijionea shehena kubwa sana ya mahindi
iliyoletwa kutoka mashambani na kusafirishwa kila pembe ya nchi. Mwaka
huu, kama ilivyokuwa mwaka jana, mavuno ya mahindi yamekuwa makubwa
kiasi hata cha kupatikana kwa mavuno ya ziada yanayolemea maghala
yaliyopo, ikiwa ni muendelezo wa mafanikio ya sera ya kilimo kwanza
ambayo imekuwa ikileta matokeo mazuri kila mwaka. (picha hii na zote
zinazofuata hapo chini ni kutoka Ikulu).



Subscribe to:
Posts (Atom)
























