Facebook Comments Box

Saturday, April 19, 2014

PICHA: YANGA NA SIMBA ZILIVYOKUTANA LEO.

Akiwa mbele kuwaongoza wachezaji wenzake katika kushangilia bao lake la kusawazisha ni Saimon Msuva


mshambuliaji wa Yanga Kavumbagu akiwatoka mabeki wa Simba

Akitafuta mbinu sahihi za kuwatoka mabeki wa simba ni mfungaji wa bao safi la kusawazisha la Yanga Simon Msuva
Shabiki wa Yanga



Mchezaji wa Yanga Hamisi Kiiza "Diego" akiruka daluga la beki wa Simba Chollo

the


AZAM WATOA KIINGILIO MECHI YA LEO.


UONGOZI wa mabingwa wapya wa soka
Tanzania Bara, Azam FC unatarajia
kutowalipisha kiingilio mashabiki katika
mchezo wa kesho dhidi ya JKT Ruvu kwenye
Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Katibu Mkuu wa timu hiyo, Nassor Idrissa
alisema sababu ya kufanya hivyo ni kuwapa
fursa mashabiki wao kuingia kwa wingi ili
kushuhudia timu yao ikikabidhiwa kombe la
ubingwa huo ambalo wanalitwaa kwa mara
ya kwanza tangu ilipopanda kucheza Ligi
Kuu.
“Natarajia kukutana na viongozi wenzangu
halafu tuzungumze na Mwenyekiti wa Bodi
ya Ligi, Silas Mwakibinga tuone kama
tunaweza kuruhusiwa kuwaingiza mashabiki
wetu bure kwenye mchezo wetu wa mwisho
dhidi ya JKT Ruvu, ili washuhudie timu yao
ikikabidhiwa kombe,” alisema Idrissa.
Idrissa alisema kama yangekuwa mamlaka
yao wenyewe na siyo sheria za Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF), wangechukua uamuzi
Ni


Thursday, April 17, 2014

MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA SIKU YA  TAREHE 28/04/2014. TRAFFIC CIRCULATION AT CBD
1. Kipande cha Mtaa wa Samora kuanzia Mnara wa Askari (Askari Monument) hadi Clock Tower, kutakuwa na mabadiliko ambayo magari yatakuwa yanaelekea Clock Tower badala ya Askari Monument.
2. Barabara ya Sokoine kuanzia Station hadi Makutano ya Mtaa wa Maktaba Posta Ya Zamani Magari yatakuwa yanaelekea Uelekeo mmoja wa Station Posta ya Zamani tofauti na ilivyo sasa Posta ya Zamani kwenda Station.
3. Barabara ya Kivukoni  Kuanzia Posta ya Zamani hadi Ferry itakuwa barabara ya mielekeo miwili (Two Ways).
4. Barabara ya Samora kuanzia Mnara wa Askari hadi Ocean Road Hospitali itakuwa ni barabara ya mielekeo miwili.
5. Daladala Zote zitakazotokea barabara za  Makataba zitakunja kulia pembeni ya Jengo la NBC na hadi Makutano ya Mkwepu na kukunja kushito kuingia Sokoine pale Posta ya Zamani na baadaye kukunja kushoto kuingia Makataba na kurudi Posta Mpya .
Key:
1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}.
2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way}
3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking Streets}
4. RANGI NYEKUNDU - Barabara za kupita Daladala
5. RANGI YA BLUU ILIYOIVA - Barabara za DART
6. DUARA ZA NJANO - Mzunguuko {Roundabout}
7. MSALABA WA KIJANI - Makutano yenye Taa za kuongozea Magari {Singnalized Intersection}
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Ofisi za DART
UBUNGO PLAZA GHOROFA YA KWANZA.
AU.
OFISI YA MHANDISI WA MANISPAA YA ILALA
MABALA NA SHOPRITE SUPEEMARKET JIRANK NA KAMATA
Ni muhimu kwa waendesha magari wote kujua habari hii muhimu !!!!
Hasa mimi ninaesoma sasa
Mtaarifu mwingine juu ya mabadiliko haya kuondoa usumbufu ifikapo siku ya Jumatatu 28/04/2014.


NMB WATOA MSAADA KWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA.

Nmb imekabidhi msaada wa vifaa vya hospitali vyenye thamani ya milion 5 akipokea msaada huo Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala Dkt. Kariamel Wandi ameishukuru Nmb,misaada hii imewasilishwa na Meneja wa NMB kanda ya Dar es salam Ndg,Salie Mlay.


WAMILIKI WA TV IMAAN KUANZISHA GAZETI LAO.

Mweyekiti wa The Islamic Foundation Brother Aref Nahdi akiwa na
Mkurugenzi wa habari Tanzania Mr Mwambene, kujadili maombi
ya kibali cha GAZETI IMAAN.
Taasisi hio imeshafanya maombi Rasmi ya Gazeti la Imaan Hivyo
inasubiri Majibu ya kupewa leseni, Dua na Michango yenu ni muhimu
sana.
Kwa sasa taasisi hiyo inamiliki Tv Imaan ambayo inapatikana katika satellite dish pamoja na king'amuzi cha startimes katika miji mikubwa yote Tanzania.
Vilevile wanamiliki Radio Imaan ambayo inasikika katika eneo kubwa la Tanzania na baadhi ya maeneo ya nchi jirani.

Tv Imaan
Radio Imaan
Gazeti Imaan.......Inshallah.



Wednesday, April 16, 2014

TV IMAAN NDANI YA STARTIMES.

The Islamic Foundation's Chairman Aref Nahdi and CEO for Radio and
TV Imaan Shk Ally Ally Ajran signed Aggrement with Startimes for 6
regions Dar es salaam, Morogoro, Dodoma, Arusha, Mwanza and
Mbeya. The Startimes will charge Tv Imaan US $ 11,300 equivalent to
Tshs 18,588,500 per month for service provider per annum is UD $
135,600 = Tshs 223,062,000.



Monday, April 14, 2014

PICHA:BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI YAHARIBIKA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA

Watu wengi wakiwa wametafsiri kuwa ni ujengwaji wa chini ya kiwango wa baadhi ya sehemu za barabara za mabasi yaendayo kasi baada ya kuona sehemu hii ambayo imeharibika kabla ya kutumiwa.
Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo iliyo haribika.



AJALI MBAYA MAKONGO JUU: LORI LA MCHANGA LAANGUKIA GARI DOGO.



TV IMAAN IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Kwa wale waliokuwa wakikosa vipindi bora na vyenye maadili na kuelimisha kwa ajili ya familia na jamii kwa ujumla sasa Tv Imaan imerudi hewani na sasa ipo kwenye matangazo ya majaribio.

Wenye satellite dish wataipata Tv Imaan 

satellite ..intelsat 906 64°E

Frequency....4069

Symbol Rate ..... 2500

Polarization. .....Vertical

 wenye kingamuzi cha startimes waliopo morogoro wataipata pia.

TV IMAAN
ELIMU BILA MIPAKA.



LIGI KUU UINGEREZA: NANI KUSHIKA NAFASI YA NNE

Ligi kuu ya uingereza imefika pagumu ambazo Arsenal na Everton wakiwa wamebakiza mechi tano tatu nyumbani na mbili ugenini.

Everton wana points 66 na Arsenal 64 wakiwa na mchezo sawa



PICHA:DARAJA LA MTO RUVU BADO HALIPITIKI

Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonesha hali ilivyo sasa mto ruvu.
Mpaka sasa daraja hilo halipitiki hamna gari lililopita kwenda morogoro na Arusha wala kuja huku Dar es salaam.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU