Facebook Comments Box

Tuesday, January 14, 2014

PRESIDENT JAKAYA KIKWETE RE-SHUFFLES CABINET

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete  announced his new cabinet yesterday,

it was highly anticipated that President Kikwete would reshuffle the cabinet after

appointing the former United Nations Deputy Secretary general

Dr Asha Rose Migiro as a member of Parliament in the Month of December 2013.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

The incumbent Foreign affairs minister Hon. Bernard Membe and  Prof. Muhongo both  hold on to

their currentis portfolios of foreign affais and international cooperal and minerals respecticely.

Hon. January Makamba has been made a full minister after being a deputy in several ministries.

The list that we have received  seems to have some new faces and a few old ones

with some deputies being made full ministers after clearly demonstrating their capacities.

The President appears have mave made some bold moves by appointing new young

ministers like Hon. Makamba but he has also kept the voices of experience with safe

hands like Membe, Sitta and Magufulid to maintain the continuity.

January Makamba...Agriculture food and cooperatives

Dr Asha Rose Migiro...East Africa

Sanwel Sitta...Defence

Harrison Mwakyembe...Tamisemi

Deo Filikunjombe.....Transport

Abdallah Kigoda....Finance and Economy

Prof. Kabudi.....Education

Prof. Mark Mwandosya...Public Services Management

Aggrey Mwanri...Works

Dr. Magufuli....Natural Resources and Tourism

Dr. Charles Muhangwa Kitwanga....Livestock and fisheries

Dr. John Tizeba.....Home Affairs

Dr. Mary Nagu...Business and industries

Prof. Maghembe....Water

Prof. Sospeter Muhongo....Energy and Minerals

Bernard Membe...Foreign Affairs

Prof Anna Tibaijuka....Lands, Housing and Human Setllements

Prof. pius P Mbawala....Science and technology

CHANZO: MATUKIO UK BLOG



Thursday, January 9, 2014

BASI LA MTEI LACHOMWA MOTO BAADA YA KUSABABISHA AJALI

Leo asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.



KIBONZO: MOYES AKIZISAIDIA NDOA ZA WATU



Wednesday, January 8, 2014

BAADA YA ZITTO KUSHINDA MAMBO YALIKUWA HIVI

Mh Zitto Kabwe akibebwa juu na wanachama wa CHADEMA baada ya kushinda kesi alio ifungua akiomba mahakama isimamishe kamati kuu isijadili uanachama wake mpaka hapo kesi ya msingi itakapo sikilizwa




Sunday, January 5, 2014

SOMA ZITTO ALIVYO WACHANA LISSU NA MBOWE LIVE.



MATOKEO YA FA CUP: MAN U WACHEZEA KICHAPO



SHOTI YA UMEME YATHIRI NYUMBA ZAIDI YA MIA: MOTO MPAKA SASA BADO HAUJAZIMWA

Taarifa ilotufikia muda mfupi kua shoti ya umeme imeathiri nyumba takribani 100 katika mji wa Pemba kijiji cha Shumba mjini na mpaka hivi sasa hakujawezekana kuzimwa kwa moto huo kwa kutopatikana gari la kuzimia moto huu ni msiba mkubwa kwa ndugu zetu naomba tuwatakieni dua ili Allah awahafifishie mtihani huo


YANGA YAWAHENYESHA WAZUNGU


Kocha Msaidizi wa timu ya Yanga Boniface Mkwasa akitoa maelekezo kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hivi karibuni  

YANGA imeuanza mwaka 2014 kwa kasi ya aina yake ambapo makocha wazungu wenye hadhi zao wanahenya usiku na mchana wakisubiri simu za viongozi tayari kuitwa kazini kuanza kibarua kipya.
Lakini Abdallah Binkleb ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano na Usajili wa Wachezaji, ameithibitishia Mwanaspoti kwamba kabla ya Jumatano ijayo lazima watakuwa wamemchagua mzungu mmoja wa maana.
Binkleb alisema: “Wapo wengi sana kila siku wanatuma maombi lakini sisi tunataka kocha mmoja tu wa maana ambaye ni fundi na anayeweza kutufanyia kitu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na analijua soka la Afrika.
“Tumemchukua Mkwasa (Boniface, anayekuwa Kocha Msaidizi) ni kocha wa maana pamoja na Juma Pondamali (Kocha wa Makipa) wanaijua Yanga vilivyo, tuna uhakika kwamba tukishakutana tukipitia orodha ya mwisho na kuchagua wa kutua nchini, tusifanye makosa.”
Hata hivyo kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Yanga hakuwa na idadi kamili ya makocha walioomba kazi hiyo inayoachwa wazi na Ernest Brandts ambaye amepewa notisi.
Bin Kleb alisema hawezi kusema idadi kwa sasa kwa vile wamekuwa wakipokea barua pepe za maombi hayo kila baada ya muda mfupi.
MKWASA AANZA KWA MIKWARA
Boniface Mkwasa ameiangalia timu hiyo na kutamka kuwa wachezaji wake hawana uwezo wa kucheza dakika 90, hivyo ataanza mazoezi ya aina nne kuwandaa kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mkwasa ametoa kauli hiyo mara baada ya mazoezi ya siku ya kwanza kumalizika jana Ijumaa baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo akirithi mikoba ya Fred Minziro aliyekuwa msaidizi wa Brandts.
Akizungumza na Mwanaspoti, Mkwasa alisema kuwa timu hiyo inahitaji mabadiliko ya haraka katika kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kutokana upungufu aliouona ambao ni;
Moja; Pumzi. Hilo ndilo la kwanza linalohitajika ambalo ameliona kwa wachezaji kushindwa kumudu kucheza dakika 90 jambo ambalo ni baya kwa timu inayojiandaa na michuano ya kimataifa.
Katika kuhakikisha analifanyia kazi hilo, tayari ameuomba uongozi kutafuta uwanja mkubwa kushinda ule wanaoutumia hivi sasa wa Bora uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Wanahamishia mazoezi yao Uwanja wa Tanganyika Packers ambao una eneo kubwa kwa lengo la kuwaongezea pumzi wachezaji hao.

Pili; Kasi. Ameona timu hiyo inacheza soka la taratibu ambalo yeye halitaki, anataka kuona timu inacheza kwa kasi ili kuwachosha wapinzani wao ndani ya uwanja.
Tatu; Pasi. Nalo ni tatizo kwani anasema wachezaji wanapiga pasi hovyo. Anasema ili timu icheze soka safi, lazima wapige pasi zitakazowafikia wenzao ndani ya uwanja na siyo kuwapelekea adui na kuanza kupata tabu ya kukaba.
Nne; Kumiliki mipira. Hilo nalo ni tatizo ingawa amesema ni karibu kwa timu zote zinazoshiriki ligi, hivyo amepanga kulimaliza tatizo hilo kwa Yanga.
“Ninajua ni ngumu kumaliza matatizo hayo katika muda huu mfupi wakati timu inajiandaa na ligi, lakini ninaamini nitalipunguza, jambo kubwa nahitaji ushirikiano kutoka kwa wachezaji, ninaomba viongozi kuhakikisha wanasimamia nidhamu ya wachezaji, pale wanaomba ruhusa na kupewa basi warudi kwa wakati,” alisema.
MAZOEZI MARA MBILI
Mkwasa amebadilisha muda wa mazoezi ambapo kuanzia keshokutwa Jumatatu yatakuwa yakifanyika jioni tu na kadiri siku zinavyokwenda mazoezi ya timu hiyo yatakuwa yakifanyika mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni.
Mkwasa alikaa kikao kirefu na wachezaji juzi Alhamisi jioni klabuni na aliiambia Mwanaspoti kuwa kikao hicho kilikuwa kwa ajili ya kuwafahamu wachezaji kabla ya kuanza kazi rasmi jana Ijumaa.
“Lengo langu lilikuwa kufahamiana na kupanga mikakati, mimi si mgeni Yanga, naamini ushirikiano kutoka kwa wachezaji na viongozi utasaidia timu kupata mafanikio kwenye Ligi Kuu na michuano ya kimataifa,” alisema Mkwasa.
Habari za ndani zinasema Yanga itasafiri kwenda nchi mojawapo kati Hispania, Uturuki au Ureno na inadaiwa timu inatakiwa kuondoka kati ya Januari 9 na 10.
Viongozi wanafuatilia maandalizi ya safari hiyo ili ifanyike katika muda huo.  

CHANZO: MWANASPOTI


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU