Facebook Comments Box

Wednesday, September 3, 2014

DR SLAA ATOA MSAADA WA MADAWATI MTAMBANI

Dr Willibrod Slaa jana amekabidhi Madawati 60 kwa Shule ya
Mvumoni Seminary iliyoko Msikiti wa Mtambani Kinondoni.
Msaada huu ni kutimiza ahadi aliyoitoa Dr. Wilbrod Slaa Katibu Mkuu wa chadema kwa niaba ya chama alipotembelea msikiti huo kutoa pole za Chama kutokana na ajali ya moto iliyoteketeza mali mbalimbali pamoja na madawati 60 ambayo yalikuwa yakitumika na wanafunzi wa kidato cha nne msikitini hapo.

msikiti wa mtambani ulipata ajali ya moto siku kadhaa zilizopita na kusababisha hasara kubwa lakini cha muhimu ilikuwa ni kuwawezesha wanafunzi wa kitado cha nne shuleni hapo ambao tayari wameanza mitihani juzi.



Tuesday, September 2, 2014

MAGAZETI YA LEO: JUMANNE TAREHE 02/09/2014




ORODHA YA WACHEZAJI WALIOSAJILIWA ULAYA

PREMIER LEAGUE
 
Falcao (Monaco to Manchester United) Loan - reported fee £6m
 
Danny Welbeck (Manchester United to Arsena) £16m
 
Daley Blind (Ajax to Manchester United) £14m
 
Abel Hernandez (Palermo to Hull City) Undisclosed, reported to be £9.5m
 
Hatem Ben Arfa (Newcastle to Hull City) Loan
 
Ricardo Alvarez (Inter Milan to Sunderland) Loan
 
Sebastian Coates (Liverpool to Sunderland) Loan
 
Nathaniel Chalobah (Chelsea to Burnley) loan
 
George Boyd (Hull to Burnley) £3million
 
Modibo Diakite (released by Sunderland) Free
 
Modou Barrow (Ostersunds FK to Swansea) Undisclosed
 
Benjamin Stambouli (Montpellier to Tottenham) Undisclosed
 
Sebastian Coates (Liverpool to Sunderland) Loan
 
Mohamed Diame (West Ham to Hull) Undisclosed
 
Zeki Fryers (Tottenham to Crystal Palace) £3m
 
Sandro (Tottenham to QPR) £10m
 
Gaston Ramirez (Southampton to Hull) Loan
 
Oussama Assaidi (Liverpool to Stoke) Loan
 
James McArthur (Wigan to Crystal Palace) £7m
 
Niko Kranjcar (Dynamo Kiev to QPR) Loan
 
Kevin Doyle (Wolves to QPR) Loan
 
Morgan Amalfitano (Marseille to West Ham) Undisclosed
 
Toby Alderweireld (Atletico Madrid to Southampton) Loan
 
Sadio Mane (Red Bull Salzburg to Southampton) £11.8m
 
Tom Lawrence (Manchester United to Leicester) £1m
 
Nick Powell (Manchester United to Leicester) Loan
 
Michael Keane (Manchester United to Burnley) Loan
 
LA LIGA
 
Javier Hernandez (Man Utd - Real Madrid) Loan
 
Alessio Cerci (Torino to Atletico Madrid) undisclosed
 
Yassine Bounou (Atletico Madrid to Real Zaragoza) loan
 
Jose Canas (Swansea to Espanyol) Free
 
Alvaro Negredo (Manchester City to Valencia) Initial loan, obligation
to buy £23.7m
 
SERIE A
 
Marco van Ginkel (Chelsea to AC Milan) Loan
 
Saphir Taider (Southampton to Inter) Loan return
 
Javier Saviola (Olympiacos to Verona) Undisclosed

Giacomo Bonaventura (Atalanta to AC Milan) €7m

Joao Pedro (Estoril to Cagliari) Exchange for Matias Cabrera

Micah Richards (Manchester City to Fiorentina) Loan

Mapou Yanga-Mbiwa (Newcastle to Roma) Loan

Djamel Mesbah (Parma to Sampdoria) Undisclosed

Juan Antonio (Sampdoria to Parma - loan to Feralpi Salò) Undisclosed

Marco Donadel (Napoli to free agent)

BUNDESLIGA

Julian Green (Bayern Munich to Hamburg) Loan

Lewis Holtby (Tottenham to Hamburg) Loan

LIGUE 1

Valentin Roberge (Sunderland to Reims) Loan

Benjamin Stambouli (Montpellier to Tottenham) Undisclosed

Carlos Eduardo (Porto to Nice) Loan

Doria (Marseille to Brazil) Undisclosed

CHAMPIONSHIP

Ignasi Miquel (Arsenal to Norwich) £1m

Shane Duffy (Everton to Blackburn) Undisclosed

Jelle Vossen (RC Genk to Middlesbrough) Loan

Adam Forshaw (Brentford to Wigan) Undisclosed

Andy Delort (Tours to Wigan) Undisclosed

Brian Montenegro (Nacional Asuncion to Leeds) Loan

Royston Drenthe (Reading to Sheffield Wednesday) Loan

Bruno Ecuele Manga (FC Lorient to Cardiff City) Reported fee £5m

William Kvist (Stuttgart to Wigan) Undisclosed

Danny Gabbidon (Unattached to Cardiff City) Free

Souleymane Doukara (Catania to Leeds) Undisclosed

Jamal Blackman (Chelsea to Middlesbrough) loan

Emyr Huws (Manchester City to Wigan) Undisclosed

Matt Smith (Leeds to Fulham) Undisclosed

Jos Hooiveld (Southampton to Norwich) Loan

Glenn Murray (Crystal Palace to Reading) Loan

Frank Nouble (Ipswich to Coventry) Loan

Louis Thompson (Swindon to Norwich) Undisclosed, loaned back

Ryan Tunnicliffe (Fulham to Blackburn) Loan

Matt Smith (Leeds to Fulham) Undisclosed

Jason Steele (Middlesborough to Blackburn) Loan

Mark Hudson (Cardiff to Huddersfield) Undisclosed

SELECTED OTHERS

Emmanuel Frimpong (Unattached to FC Ufa) Free

Karim El Ahmadi (Aston Villa to Feyenoord) Undisclosed

Jonathan Obika (Tottenham to Swindon) Undisclosed

Tomislav Gomelt (Tottenham to Bari) Loan

Souleymane Coulibaly (Tottenham to Bari) Undisclosed

Matej Delac (Chelsea to Arles) Loan

Holmbert Fridjonsson (Celtic to Brondy) Loan

Dylan McGeouch (Celtic to Hibernian) Loan

Ryo Miyaichi (Arsenal to FC Twente) Loan

Raul Rusescu (Sevilla to Steaua Bucharest) Loan

John Arne Riise (APOEL) Free

Blerim Dzemaili (Napoli to Galatasaray) Undisclosed

Goran Pandev (Napoli to Galatasaray) Undisclosed

Stefan Scepovic (Sporting Gijon to Celtic) £2.3m

Jose Campana (Sampdoria to FC Porto) Loan

Alex Kacaniklic (Fulham to Copenhagen) Loan


Monday, September 1, 2014

TAARIFA YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA JUU YA UPEPO MKALI




MAKOMANDOO WA NEPAL WALINDA NYUMBA YA MNYARWANDA KARIBU NA AIRPORT

Komandoo Sidhee Bahadurkatuwal (kulia) kutoka Nepal akionesha nyumba ya Mrwanda aliyokuwa akiilinda kupitia kampuni ya Ulinzi ya Advanced Security karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam,

akiwa na makomandoo wenzake kutoka Nepal,
Maofisa wa Uhamiaji wakimhoji mama wa kitanzania
aliyeolewa na mnyarwanda ambao nyumba yao ilikuwa
ikilindwa na Komandoo kutoka Nepal

Baadhi ya makomandoo wa kijeshi kutoka Nepal wakiwa
wamevalia sare ya Kampuni ya Ulinzi ya Advanced katika
nyumba hiyo.


MAGAZETI YA LEO: JUMATATU 01 SEPTEMBA 2014




Sunday, August 31, 2014

MWANAZUONI MKUBWA ALHABIB UMAR IBN HAFIDH AWASILI KENYA

Mwanazuoni Mkubwa duniani Alhabib Umar bin Salim bin Hafidh jana amewasili jijini Nairobi Kenya katika ziara ya mwaliko wa Sheikh Al-Amoudy ambapo atakuwa nchini humo kwa muda wa wiki moja.




Katika ziara hiyo Alhabib Umar atafungua Markaz ya Dar Al-Mudathir iliyoko Malindi ambapo ni tawi la chuo cha Dar al Mustafa kilichoko Yemen. Mbali na Nairobi na Malindi sehemu zingine atakazotembelea ni Eldoret,Mombasa na atafungua misikiti kadhaa.




Angalia ziara yake kamili Alhabib Umar hapo chini.

-SAT. 30th AUG. -NAIROBI
Arrival: 7PM
-SUN.31st AUG. -NAIROBI/MALINDI
Muslim Children's Home & Imtiaz Sunni MOsque in Nairobi:AM

Flight to Malindi:PM

-MON. 1st SEP. -MALINDI/MAMRUI/MALINDI
Ziyara of Ash-Sharif Sa'eed al-Beidh, Mamrui:AM
Opening of Dar al-Mudathir, branch of Dar al-Mustafa, Malindi:PM
Opening forum with scholars and public, Malindi: 4:15PM

-TUESDAY 2nd SEPT. - MALINDI/MOMBASA

Opening of Masjid Abu Bakr Siddiq at Kwachocha, Malindi: 11AM
Programme at Masjid Konzi, Mombasa: 6:45PM

-WED. 3rd SEPT. - MOMBASA

Opening of Masjid Nur, Kikambala: 11AM
Hawl of Imam al Haddad RA at Memon Villa Hall: 6:45PM
-THUR. 4th SEPT. -MACKINNON RD/MAKINDU
-FRI. 5th SEPT. -MAKINDU/ELDORET
Jumuah at Makindu: 12:30PM
Flight to Eldoret from Nairobi: PM
-SAT. 6th SEPT. -ELDORET/NAIROBI
Opening of Majma'ul Khayrat Insitute, Eldoret: AM


YANGA YATANGAZA KAMATI ZAKE

Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wajumbe Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo), Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji, wanapenda
kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wanaYANGA,
wameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji ya YANGA zifuatazo:
 
1) KAMATI YA UFUNDI
 
Wajumbe:
1) Duduma, Nassoro
2) Lamlembe, Roger
3) Malulu, Pascal
4) Msolla, Peter
5) Zangira, Steve
 
2) KAMATI YA SOKA YA VIJANA NA WANAWAKE
Wajumbe:
1) Katwila, Shaban
2) Kabisa, Jessica (Advocate)
3) Mazwile, Isack
4) Mwita, George
5) Tembele, Ally Mayay
 
3) KAMATI YA MASHINDANO
Wajumbe:
1) Cheyo, Magembe
2) Didi, Ibrahim
3) Hussein, Ndama Risasi
4) Katabalo, Moses
5) Katunzi, Mudhamiri
6) Kihanga, Pascal
7) Kingo, Ray Shauri
8) Kleb, Abdallah Bin
9) Luhago, David
10) Lukumay, Samwel
11) Macha, Innocent
12) Maige, Jackson
13) Mahende, Mugaya
14) Makay, Sule
15) Malebo, Michael
16) Malume, Paul
17) Matata
18) Mbise, Anandumi Timothy
19) Mlangwa, David
20) Mogha, John
21) Mutaboyerwa, Joseph John
22) Ntimizi, Said
23) Nyambaya, Lameck
24) Nyika, Hussein
25) Nyumbamkaly,
26) Ramadhan, Fulgence
27) Rashid, Ahmed
28) Suleman, Majid
29) Tenga, Frank
30) Tindwa, Beda
31) Zakaria, Dr.
 
Ifahamike kwamba, kutakuwa na nyongeza ya uteuzi wa Wajumbe wengine wa Kamatiza YANGA zilizotajwa hapo juu.
Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji Wajumbe Wenza wa
Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo) watakuwa
Wenyekiti Wenza wa Kamati zilizotajwa hapo juu.
Kamati ya Utendaji ya YANGA, ina karibisha Wajumbe waliotajwa
katika Kamati zilizotajwa hapo juu kwa dhamira njema kuwa
watasaidia kujenga YANGA bora, na wanaomba ushirikiano kutoka
kwa wanaYanga wote ili Wajumbe walioteuliwa waweze ketenda
kazi zao vyema kwa manufaa ya YANGA.
(YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
(BENO NJOVU)
KATIBU MKUU WA YANGA


SIMBA YAVUNA MAGOLI KWA KMKM

Beki wa Simba "baba ubaya" akipambana na mchezaji wa KMKM
SIMBA SC imewafunga mabingwa wa Zanzibar, KMKM mabao 5 - 0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara usiku huu uwanja wa Amaan,Zanzibar.

KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2 - 0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.

Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Hamis Tambwe mawili, Amir Kiembe na Shabaan Kisiga 'malone' moja kila mmoja.

Viongozi wa Simba wakiongozwa na Hans pope
Amri Kiemba ndiye aliyefungua karamu ya mabao ya Simba SC hii leo, dakika ya tatu ya mchezo baada ya kupewa pasi nzuri na kiungo Mrundi, Pierre Kwizera na kuwatoka wachezaji wawili wa KMKM kabla ya kufumua shuti kali lililogonga mwamba wa ndani wa lango.

Amisi Tambwe akafuatia dakika ya 14 baada ya kuuwahi mpira uliotemwa na kipa Salim Amour kufuatia yeye mwenyewe kupiga mkwaju wa penati, baada ya Kiungo Haroun Chanongo kuangushwa kwenye boksi.

Tambwe tena akafunga bao la tatu dakika ya 23 akimalizia krosi maridadi ya Ramadhan Singano 'Messi' kabla ya kisiga kufunga la nne dakika ya 37, kufuatia kazi nzuri ya Kiemba.

Mchezaji ambae yupo katika mgogoro na ambae hajajua hatma yake kama atacheza au hata cheza ligi Emmanuel Okwi akiwa katika benchi la simba akiangalia kama anaweza kupata namba katika kikosi hicho cha Simba.
Kipindi ha pili, kocha Mzambia, Patrick Phiri alibadilisha kikosi kizima akimuacha Nahodha Joseph Owino na dakika ya 60 Elias Maguri akahitimisha karamu ya mabao kwa bao safi la tano.

Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi aliyetangaza juzi kurejea Simba SC kutoka kwa mahasimu wao Yanga SC usiku wa jana alikuwepo, lakini alibaki benchi muda wote wa mchezo.

Hamis Tambwe na Singano wakishangilia Goli
Viongozi wa Simba SC wakiongozwa Makamu wa
Rais, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ na Mwenyekiti
Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe, Kassim
Dewji, Musley Ruwey, Mohammed Nassor ‘Steven
Seagal’, Crescentius Magori, Said Tuliy na
wengineo walikuwepo kushuhudia mchezo huo.

Kikosi cha Simba SC kilikuwa:
Ivo Mapunda/
Hussein Sharrif ‘Cassilas’ dk46/Peter Manyika
dk84, Miraj Adam/Abdi Banda dk46/Nassor
Mssoud ‘Cholo’dk84, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’/
William Lucian ‘Gallas’ dk46/Mohammed Hussein
‘Tshabalala’ dk84, Joram Mgeveke/Hassan Isihaka
dk46, Joseph Owino, Pierre Kwizera/Abdallah
Seseme dk46, Haroun Chanongo/Twaha Ibrahim
‘Messi’ dk46, Amri Kiemba/Ibrahim Hajibu dk46,
Amisi Tambwe/Elias Maguri dk46, Shaaban Kisiga
‘Malone’/Awadh Juma dk46 na Ramadhani Singano
‘Messi’/Uhuru Suleiman dk46.
KMKM; Salim Amour, Pandu Hajji, Faki Hamad/
Makame Hajji dk30, Juma Rashid/Nassor Ali dk30,
Halfan Khamisi/Mudrik Muhibu dk30, Moka
Shaaban, Ame Khamis, Abdi Kassim ‘Babbi’, Haji
Simba/Kassim Nemshi dk30, Maulid Ibrahim na
Khamis Ali.


WAZIRI MKUU AKIMBILIA AFRIKA YA KUSINI

Jeshi la Lesotho
Sawa Waziri mkuu nchini Lesotho Tom Thabane ameiambia BBC kwamba amelitoroka taifa hilo baada ya kupata vitisho vya maisha yake.

Akizungumza kutoka nchini Afrika kusini,Bwana Thabane amesema kuwa vitendo vya jeshi nchini humo vya kusitisha huduma za serikali na kusababisha mapinduzi.
 
Awali Ripoti kutoka mji mkuu wa maseru zilisema kuwa jeshi lilizingira makao makuu ya polisi na kuzuia matangazo ya radio pamoja na mtandao wa simu katika mji mkuu wa Maseru.

Uchaguzi uliozongwa na utata nchini humo miaka miwili iliopita ulisababisha kuundwa kwa serikali ya muungano isio dhabiti.
Licha ya mazungumzo ya kuleta amani mnamo mwezi Juni ,hali ya wasiwasi ilitanda huku majirani wa taifa hiilo wakionya dhidi ya
mbinu yoyote isio ya kikatiba.
 
Taifa hilo limezungukwa na Afrika kusini na hutegemea sana jirani yake kwa maslahi pamoja na nafasi za kazi.

Chanzo: BBC SWAHILI


Saturday, August 30, 2014

HII NDIO TIMU ANAYOENDA RADAMEL FALCAO

Mchezaji wa Monaco Radamel Falcao ameuthibitishia ulimwengu kuwa atajiunga na Madrid. Mchezaji huyo alituma ujumbe wa furaha katika akaunti yake ya tweeter na baadae kuufuta ujumbe huo ila tayari watu tulikuwa tumesha upiga picha.
 Wadadavuaji wengine wanasema huenda akaunti yake itakuwa imetekwa na maharamia wa mtandao maarufu kwa jina la kiingereza la "hackers "
Chini ni picha ya ujumbe huo.




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU