Wednesday, July 30, 2014
Tuesday, July 29, 2014
TAMASHA LA IDD TABATA SHULE:MECHI WALIO OA NA AMBAO HAWAJAOA
Saturday, July 26, 2014
MAJINA 70 YA WALIOPATA AJIRA YA UHAMIAJI
MAJINA 70 YA WALIOPATA AJIRA
YA MKAGUZI MSAIDIZI WA
UHAMIAJI.
TANGAZO KUITWA KWENYE AJIRA
NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA
UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF
IMMIGRATION)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao
waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya
Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji
(Assistant Inspector of Immigration)
wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya
Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo
Kurasini, Dar es Salaam tarehe 29 Julai
2014, saa 2:00 asubuhi. Aidha,
wahusika wote wanaelekezwa kufika
kwa wakati wakiwa na vyeti halisi vya
masomo na vya kuzaliwa.
Na
1 Abel Md. Maganya
2.Absolum Stafford Bashigwa
3 Agnes P. Mlay
4 Ali Musa Abdallah
5 Angela Kagaruki
6 Antony J. Nyagilo
7 Asteria Kiyanga
8 Awadhi Issa
9 Aziza Kaku
10 Bakari M. Khamis
11 Baraka Estomihi
12 Beatrice K. John
13 Bernard K. Mwampashe
14 Binasra J. Sabri
15 Charles M. Swai
16 Cosmas J. Mbuguni
17 Dativa J. Ndyetabura
18 David Muna
19 Doroth Ngai
20 Dotto Tabu
21 Emmanuel Gelison
22 Ezekiel A. Kibona
23 Fahamu Saidi
24 Farida Sued
25 Felix Mkemwa
26 Forget N. Charles
27 Frida N.Masomhe
28Gabriel M. Kamugisha
29 Gath E. Nyansambo
30 Gerald Moses
31 Gideon Kihoko
32 Godson Mwanawima
33 Grace C. Nyarata
34 Hamza Sanga
35 Hassan A. Mziray
36 Ibrahim Ally
37 Idd Mgoi
38 Joachim Joseph
39 John G. Mgayambasa
40 Joseph Gregory
41 Kennedy John
42 Khamis Moh'd Khamis
43 Kombo M. Ame
44 Kwame Charles
45 Lawi E. Kumburu
46 Mabrouk H. Thabit
47 Mangunda A. Kaporo
48 Marco Zacharia
49 Maria Agapith
50 Mateso Msigala
51 Meshack Mwaisela
52 Michael John
53 Miriam Mwakamele
54 Mlalama Fortinatus Amlima
55 Mussa Hemedi
56 Mwita Mwikwabe
57 Neema R. Mrope
58 Nyangoma Martin
59 Oscar Philip
60 Pasaka Wilson
61Pastory Packshard Mkongwa
62 Reagan H. Kawa
63 Rose Nseka
64 Senga Ally
65 Silvia Ngasoma
66 Sixtus Stephano Burashahu
67 Steven L. Kweka
68 Wendy Y. Mwalukasa
69 Witness Lwambo
70 Zulu P. Charles
Aidha, ni muhimu kufahamu kuwa
uchaguzi wa walioitwa kwenye ajira
umezingatia yafuatayo:
• Vipaumbele vya Idara ya Uhamiaji;
• Kutoa nafasi kwa waombaji kutoka
Zanzibar;
• Ufaulu kuanzia alama 50 asilimia na
kuendelea;
• Jinsia
Wasailiwa ambao majina yao hayamo
kwenye orodha hii wafahamu kuwa
hawakufanikiwa.
Atakayesoma tangazo hili amjulishe na
mwenzake.
Tangazo hili limetolewa na:
Katibu Mkuu
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
4 Mtaa wa Ohio
11483 Dar es Salaam
Friday, July 25, 2014
TV IMAAN WAPATA LESENI YA KURUSHA MATANGAZO
Hatimae TCRA leo watoa leseni ya urushaji wa matangazo ya Tv kwa TV Imaan na kuwa television ya kwanza afrika mashariki na kati kurusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili.
Tunawatakia mafanikio mema na Allah awaongoze katika kuwatoa watu kwenye giza na kuwapeleka kwenye nuru.
![]() |
| Br Arif Nahad akitoa hutuba |
![]() |
| Br Arif Nahad na Br Ally ajiraan wakibadilishana mawazo katika hafla ya utoaji wa leseni |
![]() |
| Mwenyekiti wa The Islamic Foundation akihojiwa na Jaffar Mponda |
Tuesday, July 22, 2014
VIDEO NA PICHA:MABAKI YA MIILI YA BINAADAMU ZAIDI YA 20 YAKAMATWA BUNJU
![]() |
| Hii ndio gari iliyokutwa na mabaki ya miili ya binaadamu ambayo hutumika na wanafunzi wa udaktari kwa mafunzo "cadaver". Miili hiyo ilikuwa inaenda kutupwa kwenye jalala la kawaida. |
![]() |
| Haya ndio mabaki ya viungo hivyo |
Hili tatizo linaletwa na serikali kukubali kuzipa ruhusa taasisi na vyuo ambavyo havijajitosheleza. Chuo hakina hospital yake ambayo inaweza kutumika kuwafundishia wanafunzi wake ila unakuta kimepewa ruhusa na kinafanya kazi.
Ushauri wetu serikali ikague upya vyuo vyote vya udaktari ambavyo havina sifa na havijitoshelezi wavifunge.
Monday, July 21, 2014
VYOMBO VYA HABARI VINAICHUKIA ARSENAL?
Kingine ambacho Mr Rodgers anashindwa kukielewa ni kuwa Fabregas atakuwa alikuwa akimzungumzia Prof. Wenger pale Barcelona na hilo ndilo lililomfanya Sanchez achague kuja Arsenal. Kitu pekee ambacho kitawafanya Liverpool kutushinda katika pirika za kugombea mchezaji ni Prof Wenger kuendelea kufananisha kipaji, umri na mshahara.
Na sasa napenda kuwaambia maadui kuwa sasa ndio tupo katika mstari na huu ni wakati wetu.
Friday, July 18, 2014
LINAH AAGWA RASMI THT AKIELEKEA NFZ
wanaanza kumsimamia msanii huyo pamoja na kazi zake.
Baadhi ya wasanii walipewa tuzo mbalimbali katika sherehe hizo ambao ni Mwasiti, Dito,Linah na Mtayarishaji kutoka katika nyumba hiyo ya sanaa Imma Ze Boy ambao wote hao walipata vyeti.
MKurugenzi wa Kampuni ya NO FAKE ZONE (NFZ), Abby akizungumza jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali.
WAFADHILI KUREJESHA MSAADA UGANDA IKIWA.........
Wednesday, July 16, 2014
HABARI NJEMA KATIKA VITA DHIDI YA VVU
Ripoti hiyo imesema kuwa idadi ya visa vya maambukizi mapya na vifo kutokana na HIV, vimeendelea kushuka. Hata hivyo, shirika hilo linataka juhudi zaidi za kimataifa kufanywa kwani za sasa hazitoshi Na shirika la misaada la Medecins Sans Frontieres limeonya kuwa watu wanaoishi na virusi hivyo hawapati dawa za kutosha.
Kwa mujibu wa shirika hilo watu milioni 35 wanaishi na virusi vya HIV. Ripoti hiyo ilionyesha visa vipya vya maambukizi milioni 2.1 vilitokea mwaka 2013. Idadi hii iko chini kwa asilimia 38 ikilinganishwa na mwaka 2001. Vifo kutokana na HIV pia vimepungua kwa asilimia 5 katika miaka mitatu iliyopita. Kwa sasa watu milioni 1.5 hufariki kutokana na ugonjwa huo kila mwaka.
Afrika Kusini na Ethiopia zimepiga hatua katika kupunguza vifo vya wagonjwa wa HIV.
KUPATA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA INGIA HAPA
21, yametoka.
waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu
ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825
Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.
1. Igowole
2. Feza Boys
3. Kisimiri
4. Iwawa
5. Kibaha
6. Marian Girls
7. Nangwa
8. Uwata
9. Kibondo
10. Kawawa
1. Ben Bella
2. Fidel Castro
3. Tambaza
4. MuhezaHigh School
5. Mazizini
6. Mtwara Technical
7. Iyunga technical
8. Al- falaah Muslim
9. Kaliua
10. Osward Mang'ombe























