The Islamic Foundation's Chairman Aref Nahdi and CEO for Radio and
TV Imaan Shk Ally Ally Ajran signed Aggrement with Startimes for 6
regions Dar es salaam, Morogoro, Dodoma, Arusha, Mwanza and
Mbeya. The Startimes will charge Tv Imaan US $ 11,300 equivalent to
Tshs 18,588,500 per month for service provider per annum is UD $
135,600 = Tshs 223,062,000.
Wednesday, April 16, 2014
TV IMAAN NDANI YA STARTIMES.
Monday, April 14, 2014
PICHA:BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI YAHARIBIKA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA
Watu wengi wakiwa wametafsiri kuwa ni ujengwaji wa chini ya kiwango wa baadhi ya sehemu za barabara za mabasi yaendayo kasi baada ya kuona sehemu hii ambayo imeharibika kabla ya kutumiwa.
Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo iliyo haribika.
TV IMAAN IPO HEWANI KWA MAJARIBIO
Kwa wale waliokuwa wakikosa vipindi bora na vyenye maadili na kuelimisha kwa ajili ya familia na jamii kwa ujumla sasa Tv Imaan imerudi hewani na sasa ipo kwenye matangazo ya majaribio.
Wenye satellite dish wataipata Tv Imaan
satellite ..intelsat 906 64°E
Frequency....4069
Symbol Rate ..... 2500
Polarization. .....Vertical
wenye kingamuzi cha startimes waliopo morogoro wataipata pia.
TV IMAAN
ELIMU BILA MIPAKA.
LIGI KUU UINGEREZA: NANI KUSHIKA NAFASI YA NNE
Ligi kuu ya uingereza imefika pagumu ambazo Arsenal na Everton wakiwa wamebakiza mechi tano tatu nyumbani na mbili ugenini.
Everton wana points 66 na Arsenal 64 wakiwa na mchezo sawa
PICHA:DARAJA LA MTO RUVU BADO HALIPITIKI
Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonesha hali ilivyo sasa mto ruvu.
Mpaka sasa daraja hilo halipitiki hamna gari lililopita kwenda morogoro na Arusha wala kuja huku Dar es salaam.
Sunday, April 13, 2014
TANZIA:MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA
Yule gwiji wa uimbaji ambae alistaafu kuimba hivi karibuni amefariki dunia leo saa saba.
Allah amrehemu na amuwepesishie mazito
Msiba upo nyumbani kwake mabibo makuburi.
BREAKING NEWS: HELKOPTA ILIYO DONDOKA LEO ILIMBEBA MAKAMU WA RAIS,KOVA NA MKUU WA MKOA
Ile helkopta iliyo dondoka leo Jijini Dar es salaam ilikuwa imewabeba Makamu wa raisna kamanda Kova na mkuu wa mkoa Said Meck Sadiq kwa ajili ya kukagua maeneo yaliyo pata mafuriko.
Ila wote wamesalimika na wazima wa afya. Ajali hiyo haijaacha athari kubwa kwao kwasasa wanatakiwa majeruhi yao hospitali.
PICHA: AMKATA MWANAE NA MAPANGA BAADA YA KUVUNJA TREI YA MAYAI
Baba ameamua kumkata mwanae na mapanga kichwani na sehemu nyingine za mwili baada ya mtoto huyo kuvunja trei ya mayai.
Tunaomba radhi kwa picha.
Saturday, April 12, 2014
PICHA: ASHA BARAKA AFUNGA NDOA.
Picha chini ni mmiliki wa African Stars Asha Baraka akiwa anafunga ndoa.
Amefunga ndoa hiyo Ijumaa ya tarehe 11.
Tunamtakia maisha mema ya ndoa yake mpya