Facebook Comments Box

Thursday, February 13, 2014

OKWI RUKSA KUCHEZA YANGA

Taarifa zilizopatikana hivi punde zinasema FIFA imebaliki taratibu za uhamisho wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka SC Villa kujiunga na Yanga.
Taarifa kutoka ndani ya shirikisho la mpira wa miguu hapa nchini TFF zinasema FIFA imemruhusu mchezaji huyo kuendelea kucheza, nakuhusu suala la deni la Simba shirikisho hilo limesema bado linalifanyia kazi.


Sunday, February 9, 2014

DAR YOUNG AFRICANS YAWACHAPA VIBONDE KOMOROZINE BAO 7 KWA 0

Hamis Kiiza hapa anaonekana akifunga bao la nne katika saba walizoshinda hapo jana.

Picha zaidi zitakujia baadae.



KIPIGO CHA BAO 5 KWA 1 ILICHOPATA ARSENAL CHAMCHANGANYA WENGER ADONDOKA CHINI

Timu ya Arsenal ilipata kipigo cha bao 5 kwa moja kutoka kwa Liverpool ndani ya Anfield jana Jumamosi baada ya timu hizo kukutana katika ligi kuu ya England. 

Wenyeji walikuwa wa kwanza kujipatia bao la kuongoza katika dakika ya kwanza tu ya mchezo huo kupitia kwa Beki wake SKRTEL ambaye aliifungia tena timu yake dakika ya 10 ya mchezo. Wafungaji wa mabao mengine ni STERLING dakika ya 15 na 52, STURRIDGE dakika ya 20.

Chelsea nao waliwachapa Newcasle bao 3 kwa 0, wakati Man City wakilazimishwa sare ya 0-0 na Norwich na kufanya Msimamo wa ligi hiyo kubadilika na kuwa Chelsea nafasi ya Kwanza, Arsenal ni yapili, Man City ya tatu na Liverpool imebaki katika nafasi yake ya nne pamoja na ushindi wake huo mnono.




Thursday, January 16, 2014

MELI YA TITANIC YAANZA KUTENGENEZWA UPYA

china-titanic-replica-6d-tragedy-simulator-1-690x494
Na Mwandishi Wetu, 
WENGI wa watu nchini China wanapendelea ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali duniani.
Lakini basi tena, wachina ni watu katika jamii wanaopenda kufanya mambo makubwa na tofauti na ni wazalishaji wa vitu vingi vya hapa leo duniani, sasa wachina wanatengeneza meli kubwa kwa mfano wa meli maarufu ya Titanic.
Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1914 karibu karne moja iliyopita na kuua watu karibu elfu moja, sasa kampuni kutoka uchina ya Star Investment Group katika mkoa wa Sichuan itatumia dola za kimarekani 165 milioni katika kujenga upya meli mfano wa Titanic.

china-titanic-replica-6d-tragedy-simulator-3
Meli hiyo mpya ya wachina itafanana kabisa na meli ya Titanic iliyozama vibaya kwenye kina cha bahari karne moja iliyopita. Meli hiyo itajengwa kwa ushirikiano na kampuni ya serikali ya China Ship building Corporation ya Wuchang inatumika kama sehemu ya hifadhi ya makumbusho katika mkoa wa Sichuan.
Katika meli hii ya replica ni ishara ya uvumbuzi uliotukuka kutoka kwa wachina na watazamiwa kuingiza mamilioni ya fedha kama riba kutokana na alama ya Titanic duniani.


VIDEO: TEMA MATE TUWACHAPE - MADEE









WAENDESHA BODABODA WAANDAMANA ARUSHA

Waendesha bodaboda Arusha wameandamana baada ya amri ya kutoruhusiwa kupaki pikipiki zao katikati ya jiji.

Waendesha bodaboda hao wameandamana na kusababisha polisi kusambazwa jijini ili kuzuia vurugu zozote ambazo zinaweza kuzuka.



Wednesday, January 15, 2014

DIVA, MCHOMVU NA B12 WAPINGWA CHINI CLOUDS MEDIA GROUP

Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya utovu wa nidhamu wa watangazaji hao.
Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba watangazaji hao wamepigwa chini kwa kosa la kukacha sherehe za maadhimisho ya miaka 14 ya Clouds FM,yaliyofanyika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar.
Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba na kumwuliza juu ya ishu hiyo ambapo alikiri.
“Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na ofisi hivyo kusababisha usumbufu mkubwa ambao ulitulazimu kuingia gharama ambazo hazikutarajiwa.
“Hatutakuwa nao kwa muda usiojulikana ingawa watu wengi wamekuwa wakinihoji juu ya hilo lakini watachotakiwa kuelewa ni kwamba hakuna ofisi isiyokuwa na sheria na taratibu za kuongoza watu wake, sasa hao wamevunja taratibu zetu,” alisema Ruge bila kufafanua zaidi.
Alipoulizwa ni taratibu zipi watangazaji hao walizovunja alisema: “Nashindwa kueleza kosa la kila mmoja ila naomba nieleweke kuwa hao watangazaji kwa sasa tumewasimamisha kwa muda usiojulikana wakati tukifikiria cha kufanya. Muhimu hapo ni kwamba wamekwenda kinyume na tulivyokubaliana.”
CHANZO; GPL


Tuesday, January 14, 2014

PRESIDENT JAKAYA KIKWETE RE-SHUFFLES CABINET

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete  announced his new cabinet yesterday,

it was highly anticipated that President Kikwete would reshuffle the cabinet after

appointing the former United Nations Deputy Secretary general

Dr Asha Rose Migiro as a member of Parliament in the Month of December 2013.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

The incumbent Foreign affairs minister Hon. Bernard Membe and  Prof. Muhongo both  hold on to

their currentis portfolios of foreign affais and international cooperal and minerals respecticely.

Hon. January Makamba has been made a full minister after being a deputy in several ministries.

The list that we have received  seems to have some new faces and a few old ones

with some deputies being made full ministers after clearly demonstrating their capacities.

The President appears have mave made some bold moves by appointing new young

ministers like Hon. Makamba but he has also kept the voices of experience with safe

hands like Membe, Sitta and Magufulid to maintain the continuity.

January Makamba...Agriculture food and cooperatives

Dr Asha Rose Migiro...East Africa

Sanwel Sitta...Defence

Harrison Mwakyembe...Tamisemi

Deo Filikunjombe.....Transport

Abdallah Kigoda....Finance and Economy

Prof. Kabudi.....Education

Prof. Mark Mwandosya...Public Services Management

Aggrey Mwanri...Works

Dr. Magufuli....Natural Resources and Tourism

Dr. Charles Muhangwa Kitwanga....Livestock and fisheries

Dr. John Tizeba.....Home Affairs

Dr. Mary Nagu...Business and industries

Prof. Maghembe....Water

Prof. Sospeter Muhongo....Energy and Minerals

Bernard Membe...Foreign Affairs

Prof Anna Tibaijuka....Lands, Housing and Human Setllements

Prof. pius P Mbawala....Science and technology

CHANZO: MATUKIO UK BLOG



Thursday, January 9, 2014

BASI LA MTEI LACHOMWA MOTO BAADA YA KUSABABISHA AJALI

Leo asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU