Facebook Comments Box

Tuesday, June 25, 2013

SUGU AKAMATWA NA POLISI LEO





MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (SUGU) amekamatwa na Jeshi la Polisi Mjini Dodoma na kuachiwa kwa dhamana.

Mwandishi wetu akiwa Mjini Dodoma anasema kwamba Mbunge huyo alikamatwa muda mfupi baada ya kutoka katika vikao vya Bunge.

Sugu alikamatwa na kupelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma na baada ya kuhojiwa aliachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti kituoni hapo kesho asubuhi kwa mahojiano mengine.

Hata hivyo taarifa za awali za tukio la kukamatwa kwa Mbunge huyo wa Chama Cha Manedeleo na Demokrasia (Chadema) zinadai kwambwa inatokana na kosa la kutoa maneno ya uchochezi, matusi na dhihaka kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda.


JOSEPH MBILINYI A.K.A SUGU ANASEMA HAJAMUOMBA MSAMAHA WAZIRI MKUU





PICHA: BOMOA BOMOA INAYO ENDELEA JIJINI DAR ES SALAAM



DSC 0024 728ec
Askari wa jeshi la P0LISI wakilinda usalama kwa wenzao wa jeshi la mgambo wakati wa kampeni ya usafi wa mazingira na kuondoa vibanda vyote vya biashara vilivyopo kandokando ya barabara ya morogoro maeneo ya magomeni mpaka ubungo
DSC 0025 0f43e

DSC 0026 ad6d1
DSC 0027 5f1ba
DSC 0028 ed0de
DSC 0029 319eb


VIDEO: MKE NA MUME WALIVYOANIKA AIBU ZAO HADHARANI




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU