Pages

Sunday, November 9, 2014

MWANAMUZIKI MKONGWE AMIGOLAS AFARIKI DUNIA

AMIGOLAS
Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Africans Stars maarufu kama Twanga pepeta amefariki dunia katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Marehemu alipelekwa hapo akiwa nasumbuliwa na matatizo ya moyo.