Pages

Sunday, October 26, 2014

STAND UNITED WAKIINGIA UWANJANI NA TINGATINGA WAKIWA NA MBUNGE WAO

Hii ndio njia ambayo stand united waliitumia kuingia uwanjani. Mwenye shati la kitenge ni mbunge wa shinyanga mjini ambae pia ni Naibu waziri mh Masele. 

Hii inatakiwa kukemewa ni hatari.