Pages

Thursday, June 12, 2014

SOKO LA MITUMBA LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO

Soko la mitumba la Karume likiteketea kwa moto usiku wa saa saba. Chanzo cha moto kinatajwa kuwa hitilafu ya umeme katika moja ya vibanda vilivyopo ndani ya soko hilo. Polisi walifika na magari mawili ya kuzima moto lakini wakashindwa kuudhalilisha moto huo kisawasawa. Vibaka inasemekana walifaidika sana na moto huo.