Pages

Thursday, June 12, 2014

PAUNDI MILIONI 30 ZAMPELEKA FABREGAS CHELSEA

Wakati watu wakiwa na hamu kubwa na shauku ya kujua nini kitatokea leo usiku katika ufunguzi wa kombe la dunia kocha mwenye maneno mengi na machachari Jose Mourinho maarufu kama special one kafanya yake kwa kusajili kiungo wa Barcelona fabregas kwa paundi za uingereza milioni 30.