Pages

Friday, June 13, 2014

NAKUMATT WAUZA VITU NUSU BEI MLIMANI CITY MUDA HUU

Baada ya kununua duka la shoprite Nakumatt wameamua kuuza bidhaa zote zilizokuwepo ndani kwa nusu bei. Kwa mfano sukari kilo moja inauzwa elfu moja na hamsini. Hii imevutia watu wengi na kujaza duka hilo hii leo.