kitongoni
Pages
(Move to ...)
Home
CONTACT US
▼
Saturday, November 2, 2013
ARSENAL VS LIVERPOOL: JE NI OLIVIER GIROUD AU LUIS SUAREZ?
Wachezaji wanao tegemewa na Liverpool kama muhimili wao wa mabao siku ya leo ni Suarez na Sturridge kama unavyowaona hapo juu.
Olivier Giroud Striker wa Arsenal ambae hana cha zaidi anapofika langoni kwa adui ila ni kuukwamisha mpira nyavuni tu.
.Mlinganyo wa Timu hizo na uwezekano wa timu ipi kushinda mechi ya leo Jumamosi 02, Novemba mnamo saa mbili usiku hebu tazama wanavyo zidiana.
.
‹
›
Home
View web version