Pages

Sunday, October 27, 2013

PICHA YA LEO: WACHEZAJI WA YANGA NA SIMBA WASALI PAMOJA

Picha chini ni timu B ya Yanga na simba walisali pamoja baada ya pambano lao kuisha kwa suluhu ya goli moja kwa moja.
Huu ndio mchezo wa kiungwana hongereni vijana mmeonesha njia