Pages

Saturday, August 3, 2013

SIMBA HAINA HAJA YA KUJUA KILICHOMO KWENYE MKATABA - MH ISMAIL ADEN RAGE


Hii ni kauli aliyoitoa mwenyekiti wa Simba Mh. Ismail Aden Rage awakati akizungumzia mkataba wa uuzwaji wa haki za matangazo ya TV ya mechi za Ligi kuu ya Tanzania, baina ya kamati ya ligi/TFF na Azam Media