SIMBA HAINA HAJA YA KUJUA KILICHOMO KWENYE MKATABA - MH ISMAIL ADEN RAGE
Hii ni kauli aliyoitoa mwenyekiti wa
Simba Mh. Ismail Aden Rage awakati akizungumzia mkataba wa uuzwaji wa
haki za matangazo ya TV ya mechi za Ligi kuu ya Tanzania, baina ya
kamati ya ligi/TFF na Azam Media