![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2SoaM6vjqlkEScL1cNKOrVm3AGugtZJMkUE28IJmpfCaOD7oQwPMEVt_zYgV3FGtKVbiskBtxr_2VPDljF8YQNxkQ7Bik-njQV1hC0uNLAi5ZEnyToJP2ZEL-N5IvmJkgmWXe-HBM4Wkh/s640/blogger-image-958370253.jpg)
Klabu
ya Simba ya Dar es Salaam imefanikiwa kumsajili mfungaji bora wa
michuano ya Kagame Cup 2013 Hamis Tambwe kutokea Vital O ya Burundi.
Tambwe ambaye pia alikuwa akiwania na mabingwa wa Tanzania bara Yanga, amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrYwbXuC7kVe8TNvwwIQE6skmCY4X0lhaafiTZmJAD68hJeQy9jxnV1NQXQIxrLdW87xP2fsLo1DfQnsomufzejliG56996PEaOWz5zrOLEP26pX0HIeIr7gaLn7O8HkIYuDjmNazneq6B/s640/blogger-image--1544151956.jpg)
Tambwe amesaini mkataba huo mbele ya mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba.