Pages

Saturday, July 13, 2013

KIJANA WISEMAN LUVANDA ATEMBEA KWA MIGUU KUTOKA MBEYA MPAKA DAR ES SALAAM

Wiseman Luvanda (23) akiwasili jijini Dar es Salaam alitokea Mbeya kwa miguu.Akiwa anaiunga mkono Timu ya Taifa


Watu wakimpokea kwa shangwe kijana aliye onesha uzalendo wa hali ya juu

Kijana Wiseman Luvanda(23) akikamilisha safari yake ya kutoka Mbeya hadi Dar kwa miguu! Kauli mbiu yake ni "Tanzania nchi yangu,Taifa Stars Timu yangu, Amka wakati wa Uzalendo ni Sasa". Tumefanya nn kuienzi nchi?