Meza kuu 
hii ikiwa ni maandalia ya kuuwaga mwili wa msanii marehemu Albert 
Mangwea aliyefariki dunia na anatarajiwa kuzikwa leo mkoani 
morogoro.Utaratibu huu umeandaliwa katika uwanja wa jamuhuri mkoani 
morogoro kwa lengo la kuwapa fursa wakazi wa mji huo kupata nafasi za 
kuuwaga mwili huo kabla ya maziko
Umati 
mkubwa wa wakazi wa morogoro waliojitokeza katika zozi za kuwaga mwili 
wa msanii huyo mchana huu kabla ya maziko yake leo.Marehemu albert mangwea alifariki wiki 
iliyopita nchini afrika kusini na maziko yake yatafanyika leo mkoani 
hapa.




