Miami 
Heat Usiku wa jana Imefanikiwa Kutetea Ubingwa wake kwenye uwanja wa 
Nyumba AMERICAN AIRLINES ARENA kwa kuichapa Timu kongwe ya SAN ANTONIO 
SPURS kwa vikapu 95 kwa 88.
Alikuwa 
ni KING JAMES tena akiongoza Tim yake katika mbio hizi za mwisho za 
Ubingwa na kucheza katika kiwango bora sana usiku wa jana.KING JAMES 
aliipatia Timu yake vikapu 37 NA Rebounds 12 na kutoa assist za Kutosha 
kuhakikisha Ushindi unabaki nyumbani MIAMI,FLorida.Ikiwa ni kwa mara ya 
Pili Mfululizo MIAMI HEAT kuchukua kombe hilo baada ya mwaka Jana 
Kunyagua ubingwa Huo kwa Kuichapa Oklahoma City kwa game 4-2.Safari hii 
haikuwa Rahisi kwa HEAT kuchukua Ubingwa huo kwani Spurs walionyesha 
upinzani Mkubwa toka mwanzo wa Game 1,Fainali hii ilikuwa ya Piga 
nikupige Mpaka kufikia kufika katika Hatua ya GAME 7 ambayo ni kufa na 
kupona.HEAT kafanikiwa kuchukua Kombe hili baada ya ushindi wa Game 
7.Wakitumia vizuri Mastar wao watatu(james,wade na bosh) Heat 
ilifanikiwa kupata ushindi huo.Ukiachana na Scores za King James,Wade 
pia alichangia Vikapu 23 NA rebounds 10,huku Bosh Akionekana kucheza 
Defence Nzuri Iliyo wapa shida sana Wachezaji wa SPURS.Wakizungumza na 
Vyombo vya Habari WADE na KING JAMES wameonekana ni watu wenye Furaha 
Huku wakishusha Sifa kemkem kwa wachezaji wa SPURS kwani haikuwa rahisi 
kwao Kuchukua Ubingwa huo kwa mara ya pili.HEAT imekuwa ni Timu ya Pili 
Kuchukua kombe hilo kwa mara ya pili Mfululizo kwa Miaka ya Karibu toka 
ichukue LA LAKERS 2009-2010.
Kwaa 
upande wa Spurs ambayo ndo Kwa mara ya kwanza Inapoteza Game Ya Fainali 
Katika Historia,Ilionekana Kuceza Vizuri kama kawaida Ila kila mtu akiwa
 na Mawazo na Majuto baada ya kupoteza Ushindi game 6 KATIKA hali isiyo 
tarajiwa,Akizungumza na Vyombo Vya habari Mmoja wa Wachezaji wakongwe wa
 SPURS MANU GINOBILI "Scientist" alisema bado akifumba macho anaiona 
GAME 6  gizanikitu ambacho wanajutia sana kupoteza mchezo Ule.Mkongwe 
timu Duncan katika harakati za Kutaka kuisaidia timu yake kuchukua 
Ubingwa Huo mara TANO akiwa na timu HIYO ziligonga mwamba jap alichangia
 vikapu 24 NA REBOUNDS 12.Alikuwa ni Kawhi Leornard Tena aliyekosa Mtupo
 Huru game 6 na kusababisha madhara kwenye timu Yake pia Game 7 ALIKOSA 
3POINT ambayo ingeleta matokeo andapo angefunga na kuwaacha HEAT 
wakiambaa ambaa na ushindi.Tony Parker alikuwa kwenye kiwango chake 
lakini kazi Nzuri iliyofanywa na KING JAMES ya kumficha TONY parker 
asionekana kabisa kwenye game hiyo japo alipata nae Tab kidogo.DANNY 
GREEN aliyeonekana kung'aa zaidi game 5 Alipotea kabisa game 6 NA 7 NA 
KUWAACHA wakongwe wakiparangana.
HEAT 
imekuwa ndo timu ya Kwanza kuifunga Spurs kwenye Mchezo wa Fainali nd 
TIM DUNCAN,TONY PARKER,MANU GINOBILI ndo imekuwa mara yao ya kwanza 
Kupotea mchezo wa Fainali kwa fainali Tano walizoshiriki.Spurs Imeingia 
Fainali Za NBA mara TANO na imefanikiwa kuchukuwa mara 
NNE(1999,2003,2005,2007) na usiku wa jana kupoteza Huku HEAT IMEINGIA 
Fainali hizo mara mara NNE ikiwa Imechukuwa mara TATU (2006,2012,2013)Na
 2011 ilipoteza Dhidi ya Dallas.
PICHA ZA MATUKIO YA GAME 7 KATI YA SPURS VS HEAT:
Tony Parker akijikuta kwenye wakati mgumu mbele ya KING JAMES Wakati akijaribu kuleta madhara.
VITA YA BOSH NA MKONGWE DUNCAN ILICHUKUWA NAFASI YAKE KAMA KAWAIDA MA'BIG HAWA WAKIKUTANA.
BOSH AKITIKISHA DEFENCE YA SPURS HUKU MONGWE MANU GINOBILI AKIHAKIKISHA ULINZI
KING JAMES LEBRON AKIFANYA YAKE MBELE YA WACHEZAJI WA SPURS KUDHIHIRISHA U'MVP WAKE.
FUNDI TONY PARKER AKIPIMANA UBAVU NA MARIO CHALMERS KUCHUKUWA BORI
MASHABIKI WA HEAT WAKISHANGILIA USHINDI WAO KWA KISHINDO IKIWA NI KWA MARA YA TATU SASA NA MARA YA PILI MFULULIZO.
MVP MARA 
NNE  na MVP MARA MBILI KWA SASA KING JAMES AKISUMBUA DEFENCE YA SPURS 
KUHAKIKISHA USHINDI UNABAKI NYUMBANI HUKU KAWHI LEORNARD AKIJARIBU 
KUMZUIA.
TIM "MKONGWE" DUNCAN AKIMTISHA TOTO CHRIS BOSH
TONY"FUNDI"PARKER AKIMCHAPA SHOOT MIKE MILLER.
MANU GINOBILI "SCIENTIST"AKIMPIGA FACE NORRIS COLE.













