Pages

Saturday, May 4, 2013

BASI LA ZAMOYONI LIKITOKEA DSM KWENDA TANGA LAPATA AJALI

Abiria wakiwa nje ya basi baada ya kunusurika
Basi la Zamoyoni likitokea Dar Es Salaam kuelekea Tanga limepata ajali leo. Dereva wa basi hilo anasema kuwa alikuwa katika mwendo wa kawaida ila alikuja kuchomekewa na basi la Hood hicho ndio kitu kilicho mfanya aende mtaroni. Hamna abiria aliekufa ila kuna abiria wachache waliopata majeraha madogo madogo kwa ajili ya mshituko na msuguano