Pages

Wednesday, February 13, 2013

TAARIFA YA KIFO CHA MSANII WA WANAUME HALISI


.

.
Taarifa ambazo millardayo.com imezipata muda mfupi uliopita ni kwamba msanii Baraka Sekela maarufu kama BK wa TMK Wanaume halisi amefariki usiku wa kuamkia leo, alikua amelazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa tatizo la moyo.